Kwa huu wizi mtandaoni hatari

Kwa huu wizi mtandaoni hatari

Jamani kuweni makini na matapeli leo wamenipiga sh 10,000 nimetuma mwenyewe ishu iko hivi, nilipigiwa simu namb ngeni ya vod mida saa nne asbh akajitambulisha kuwa customers care vodacom, kuwa Kuna mteja hapa anaitwa wilfrida Nelson ametuma hela kwa makosa kwako sh 17,000 kama umepata huo muamala tuambie mm nikamwambia kama upo vodacom customers care kwann usirudishe huo muamala kwa mwenyewe akasema hata ww unaweza kutusaidia samahani lkn, kidgo meseji ikaingia kutoka Voda M-Pesa kuwa nimepokea sh 17,000 kutoka kwa huyo wilfrida, Muda huo bado naongea na huyu customers care fake, nikamwambia nimeiona hiyo meseji akasema ahsante tunaomb imurudishie hela yake tuma hata sh 10,000 nyingn iwe makato nikamwambia pw na Muda huo ni kweli meseji ya M-Pesa, anakata tu huyu wilfrida kanipigia anataka hadi kulia samahani nimekosea kutuma hela imekuja kwako nikamwambia pole ngoja nikutumie nimeambiwa, sasa kumbe Muda huo naongea na wilfrida huyu jamaa karudisha huo muamala kwao mm haraka haraka nikamtumie huyu dada sh 10,000 salio kurudi nimebakia na sh 350 daaah kuwapigia simu haipatikani nikatuma meseji inapokelewa lkn wahajibu nami nikakimbilia karudisha muamala kuingiza hizo namb naambiwa huyu mtu tayar ameshaitumia hela nimekasirika kweli hapo nikakubali nimepigwa nikafuta hadi namb zao sikutaka hata kuziona nikaakimya nikaona niwape taadhari wadau huo ndo wizi mpya wa matapeli mtandaoni chonde chonde usikubali kurudisha muamala wa hela ambayo mtu amekosea.
Kwa tukio lako ni uzembe wako mwenyewe au siku hiyo akili yako ilikua likizo.
 
Namb, vod, asbh, mm, kwann, ww, lkn, kidgo, tunaomb, nyingn, sh, tayar

Mkuu usilalamike, kwa uandishi huu ni haki yako kabisa kupigwa, unastahili baba wala hawajakosea
 
Huu wizi sio mpya ni wa zamani tena hata hiyo meseji inakuwa haijatoka mpesa ukiichunguza ni dummy meseji ambayo mtumaji kaicreate wala haina pesa hivyo kabla ya kukimbilia kuwatumia eti wamekosea ni vyema ukacheki salio lako kwanza kama limeongezeka au la hao ni matapeli since kitambo!
 
Jamani kuweni makini na matapeli leo wamenipiga sh 10,000 nimetuma mwenyewe ishu iko hivi, nilipigiwa simu namb ngeni ya vod mida saa nne asbh akajitambulisha kuwa customers care vodacom, kuwa Kuna mteja hapa anaitwa wilfrida Nelson ametuma hela kwa makosa kwako sh 17,000 kama umepata huo muamala tuambie mm nikamwambia kama upo vodacom customers care kwann usirudishe huo muamala kwa mwenyewe akasema hata ww unaweza kutusaidia samahani lkn, kidgo meseji ikaingia kutoka Voda M-Pesa kuwa nimepokea sh 17,000 kutoka kwa huyo wilfrida, Muda huo bado naongea na huyu customers care fake, nikamwambia nimeiona hiyo meseji akasema ahsante tunaomb imurudishie hela yake tuma hata sh 10,000 nyingn iwe makato nikamwambia pw na Muda huo ni kweli meseji ya M-Pesa, anakata tu huyu wilfrida kanipigia anataka hadi kulia samahani nimekosea kutuma hela imekuja kwako nikamwambia pole ngoja nikutumie nimeambiwa, sasa kumbe Muda huo naongea na wilfrida huyu jamaa karudisha huo muamala kwao mm haraka haraka nikamtumie huyu dada sh 10,000 salio kurudi nimebakia na sh 350 daaah kuwapigia simu haipatikani nikatuma meseji inapokelewa lkn wahajibu nami nikakimbilia karudisha muamala kuingiza hizo namb naambiwa huyu mtu tayar ameshaitumia hela nimekasirika kweli hapo nikakubali nimepigwa nikafuta hadi namb zao sikutaka hata kuziona nikaakimya nikaona niwape taadhari wadau huo ndo wizi mpya wa matapeli mtandaoni chonde chonde usikubali kurudisha muamala wa hela ambayo mtu amekosea.
Ndio unajua leo?
 
Kuna jamaa nilipanda kosta yake palw segera kuja moro, sasa mmoja wa abiria akasema hana cash akaomba amtumie hela kwa simu, kweli bwana wakapeana namba yule abiria akamrushia, yule abiria akashuka chalinze, kufika mdaula jamaa mwenye kosta akaanza kulalamika kuwa yule jamaa aliyeshukia chalinze kajirudishia hela yake
 
Jamani kuweni makini na matapeli leo wamenipiga sh 10,000 nimetuma mwenyewe ishu iko hivi, nilipigiwa simu namb ngeni ya vod mida saa nne asbh akajitambulisha kuwa customers care vodacom, kuwa Kuna mteja hapa anaitwa wilfrida Nelson ametuma hela kwa makosa kwako sh 17,000 kama umepata huo muamala tuambie mm nikamwambia kama upo vodacom customers care kwann usirudishe huo muamala kwa mwenyewe akasema hata ww unaweza kutusaidia samahani lkn, kidgo meseji ikaingia kutoka Voda M-Pesa kuwa nimepokea sh 17,000 kutoka kwa huyo wilfrida, Muda huo bado naongea na huyu customers care fake, nikamwambia nimeiona hiyo meseji akasema ahsante tunaomb imurudishie hela yake tuma hata sh 10,000 nyingn iwe makato nikamwambia pw na Muda huo ni kweli meseji ya M-Pesa, anakata tu huyu wilfrida kanipigia anataka hadi kulia samahani nimekosea kutuma hela imekuja kwako nikamwambia pole ngoja nikutumie nimeambiwa, sasa kumbe Muda huo naongea na wilfrida huyu jamaa karudisha huo muamala kwao mm haraka haraka nikamtumie huyu dada sh 10,000 salio kurudi nimebakia na sh 350 daaah kuwapigia simu haipatikani nikatuma meseji inapokelewa lkn wahajibu nami nikakimbilia karudisha muamala kuingiza hizo namb naambiwa huyu mtu tayar ameshaitumia hela nimekasirika kweli hapo nikakubali nimepigwa nikafuta hadi namb zao sikutaka hata kuziona nikaakimya nikaona niwape taadhari wadau huo ndo wizi mpya wa matapeli mtandaoni chonde chonde usikubali kurudisha muamala wa hela ambayo mtu amekosea.
Huo sio wizi mpya huo wiz wa zamani Sana miaka mitano iliyopita wizi Mpya sasa hivi inaonesha wewe utakufikia 2023 Yote ni Yote Pole Sana ila kabla ya kumtumia mtu hela jiridishe kwanza
 
Jamani kuweni makini na matapeli leo wamenipiga sh 10,000 nimetuma mwenyewe ishu iko hivi, nilipigiwa simu namb ngeni ya vod mida saa nne asbh akajitambulisha kuwa customers care vodacom, kuwa Kuna mteja hapa anaitwa wilfrida Nelson ametuma hela kwa makosa kwako sh 17,000 kama umepata huo muamala tuambie mm nikamwambia kama upo vodacom customers care kwann usirudishe huo muamala kwa mwenyewe akasema hata ww unaweza kutusaidia samahani lkn, kidgo meseji ikaingia kutoka Voda M-Pesa kuwa nimepokea sh 17,000 kutoka kwa huyo wilfrida, Muda huo bado naongea na huyu customers care fake, nikamwambia nimeiona hiyo meseji akasema ahsante tunaomb imurudishie hela yake tuma hata sh 10,000 nyingn iwe makato nikamwambia pw na Muda huo ni kweli meseji ya M-Pesa, anakata tu huyu wilfrida kanipigia anataka hadi kulia samahani nimekosea kutuma hela imekuja kwako nikamwambia pole ngoja nikutumie nimeambiwa, sasa kumbe Muda huo naongea na wilfrida huyu jamaa karudisha huo muamala kwao mm haraka haraka nikamtumie huyu dada sh 10,000 salio kurudi nimebakia na sh 350 daaah kuwapigia simu haipatikani nikatuma meseji inapokelewa lkn wahajibu nami nikakimbilia karudisha muamala kuingiza hizo namb naambiwa huyu mtu tayar ameshaitumia hela nimekasirika kweli hapo nikakubali nimepigwa nikafuta hadi namb zao sikutaka hata kuziona nikaakimya nikaona niwape taadhari wadau huo ndo wizi mpya wa matapeli mtandaoni chonde chonde usikubali kurudisha muamala wa hela ambayo mtu amekosea.



Umeingia Mjini ukiwa Premature/Njiti.
Ulitakiwa uendelee kuwepo kijijini bado hadi fikra zako zikomae,
Wewe ukaamua ku-force kuja mjini, subiria, hilo ni trailer, picha laja.

Kama bado una wasi wasi, rudi kwanza kijijini hadi pale utakapo komaa kuja kuishi mjini.

Huo ndio Ushauri wangu.
 
Jamani kuweni makini na matapeli leo wamenipiga sh 10,000 nimetuma mwenyewe ishu iko hivi, nilipigiwa simu namb ngeni ya vod mida saa nne asbh akajitambulisha kuwa customers care vodacom, kuwa Kuna mteja hapa anaitwa wilfrida Nelson ametuma hela kwa makosa kwako sh 17,000 kama umepata huo muamala tuambie mm nikamwambia kama upo vodacom customers care kwann usirudishe huo muamala kwa mwenyewe akasema hata ww unaweza kutusaidia samahani lkn, kidgo meseji ikaingia kutoka Voda M-Pesa kuwa nimepokea sh 17,000 kutoka kwa huyo wilfrida, Muda huo bado naongea na huyu customers care fake, nikamwambia nimeiona hiyo meseji akasema ahsante tunaomb imurudishie hela yake tuma hata sh 10,000 nyingn iwe makato nikamwambia pw na Muda huo ni kweli meseji ya M-Pesa, anakata tu huyu wilfrida kanipigia anataka hadi kulia samahani nimekosea kutuma hela imekuja kwako nikamwambia pole ngoja nikutumie nimeambiwa, sasa kumbe Muda huo naongea na wilfrida huyu jamaa karudisha huo muamala kwao mm haraka haraka nikamtumie huyu dada sh 10,000 salio kurudi nimebakia na sh 350 daaah kuwapigia simu haipatikani nikatuma meseji inapokelewa lkn wahajibu nami nikakimbilia karudisha muamala kuingiza hizo namb naambiwa huyu mtu tayar ameshaitumia hela nimekasirika kweli hapo nikakubali nimepigwa nikafuta hadi namb zao sikutaka hata kuziona nikaakimya nikaona niwape taadhari wadau huo ndo wizi mpya wa matapeli mtandaoni chonde chonde usikubali kurudisha muamala wa hela ambayo mtu amekosea.
Hiyo sms haitoki Voda Bali wana forward wao.ukiichunguza sana inakuwa na mapungufu mengi sana.kwanza lazima wakuulize una hela ngapi kwenye akauti yako? Najua uliwaambia una 20,000 ndio maana wakaku forward hiyo sms. Ungewaambia una million basi wange tuma laki Tisa na ushee
 
Jamani kuweni makini na matapeli leo wamenipiga sh 10,000 nimetuma mwenyewe ishu iko hivi, nilipigiwa simu namb ngeni ya vod mida saa nne asbh akajitambulisha kuwa customers care vodacom, kuwa Kuna mteja hapa anaitwa wilfrida Nelson ametuma hela kwa makosa kwako sh 17,000 kama umepata huo muamala tuambie mm nikamwambia kama upo vodacom customers care kwann usirudishe huo muamala kwa mwenyewe akasema hata ww unaweza kutusaidia samahani lkn, kidgo meseji ikaingia kutoka Voda M-Pesa kuwa nimepokea sh 17,000 kutoka kwa huyo wilfrida, Muda huo bado naongea na huyu customers care fake, nikamwambia nimeiona hiyo meseji akasema ahsante tunaomb imurudishie hela yake tuma hata sh 10,000 nyingn iwe makato nikamwambia pw na Muda huo ni kweli meseji ya M-Pesa, anakata tu huyu wilfrida kanipigia anataka hadi kulia samahani nimekosea kutuma hela imekuja kwako nikamwambia pole ngoja nikutumie nimeambiwa, sasa kumbe Muda huo naongea na wilfrida huyu jamaa karudisha huo muamala kwao mm haraka haraka nikamtumie huyu dada sh 10,000 salio kurudi nimebakia na sh 350 daaah kuwapigia simu haipatikani nikatuma meseji inapokelewa lkn wahajibu nami nikakimbilia karudisha muamala kuingiza hizo namb naambiwa huyu mtu tayar ameshaitumia hela nimekasirika kweli hapo nikakubali nimepigwa nikafuta hadi namb zao sikutaka hata kuziona nikaakimya nikaona niwape taadhari wadau huo ndo wizi mpya wa matapeli mtandaoni chonde chonde usikubali kurudisha muamala wa hela ambayo mtu amekosea.
Walinijaribu kwa hiyo style wakadunda
 
Back
Top Bottom