Habari wakuu,
Katika zama hizi ambapo ushindani wa kielimu ni mkubwa sana, wazazi wengi wamekua wakijitahidi kuwapatia watoto wao msaada wa ziada nje ya shule ili kuhakikisha wanafanikiwa kitaaluma. Ndio maana nawaletea huduma bora inayoitwa Best Home Tutoring – Elimu bora, nyumbani kwako.
✅...
Mkuu haya ni mawazo ya kabla hayajalia mbwata.
Yakisha Lia mbwata mkuu utasahau tu.
Mimi nimewaona wengi Sana yakilia wanasahau though wapo wanaokumbuka.
Habari Wana jamvi,
It's urgent, anahitajika mwalimu wa chemistry mwenye uwezo wa kufundisha A level.
Location ni BANANA UKONGA DAR ES SALAAM. Aliye tayari nitumie namba inbox.
Hahaha
Umeelewa tofauti mkuu,
Kuna movie inaitwa three idiots.
Ila hao kwa vile ni wawili washikaji nikaweka 2.
Ila pia kimtukana nisiyemjua naweza tu🤣🤣🤣 japo sijawahi. Fa mchezo jua hili
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.