Unaweza kupercent kabla ya kununua mzigo mpya na kuhifadhi kiasi cha hiyo percent na baada ya mwaka au mwezi....
Au, waweza andaa excel sheet na kujua bei ya manunuzi na mauzo ukajua faida......
Au, wengine ufanya kwa kila siku kutenga kiasi pembeni bila kuathili bidhaa.
Sent using Jamii Forums...
Kwani mtu akitoa mapendekezo ndani ya chama au serikali yake ndo kusema anahitaji kwenda upande wa pili,,,,,,,,mnajitekenya, iwe kwa January au Nape hawa ni watiifu wa chama chao.
Sent using Jamii Forums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.