Profesa ntare nkobe
JF-Expert Member
- Feb 5, 2018
- 6,954
- 8,148
Hili huwe na furaha na amani kaa mbali na ndugu utaondokana na usumbufu mwingi.
Unaandika kama darasa la kwanza. Hukitaka- Ukitaka, Hili- Uli, Ulisomea ujinga?Hili huwe na furaha na amani kaa mbali na ndugu utaondokana na usumbufu mwingi.
Hivi wewe umepataje hadhi ya kuwa JF Expert member kwa uandishi huu?!Hili huwe na furaha na amani kaa mbali na ndugu utaondokana na usumbufu mwingi.
Bainisha usumbufu gani uliotokana na kukaa karibu na ndugu.
Na hapo nimejitaidi sanaUnaandika kama darasa la kwanza. Hukitaka- Ukitaka, Hili- Uli, Ulisomea ujinga?
Hili jamii ikamilike lazima watu wote wawepo usilete ujauji sanaHivi wewe umepataje hadhi ya kuwa JF Expert member kwa uandishi huu?!
Hii si haki kabisa Moderators!!