mirna92
JF-Expert Member
- Feb 20, 2019
- 502
- 1,001
Habari za muda huu wana jamii,
Naimani mko poa kabisa.
Bila kupoteza muda naomba msaada wenu tafadhali, Ndugu wa damu ni yupi kati ya hawa wawili,
mtoto wa shangazi/baba mkubwa/mjomba, au mtoto wa mama mzazi alie zaa na baba mungine ambae si baba yangu?
Sent using Jamii Forums mobile app
Naimani mko poa kabisa.
Bila kupoteza muda naomba msaada wenu tafadhali, Ndugu wa damu ni yupi kati ya hawa wawili,
mtoto wa shangazi/baba mkubwa/mjomba, au mtoto wa mama mzazi alie zaa na baba mungine ambae si baba yangu?
Sent using Jamii Forums mobile app