Siyo tu kusoma maandiko matakatifu, Pia na kumwomba Mungu awaye yote akupe hiyo neema. Mfalme Suleiman alimwomba Mungu hekima na akatunukiwa; wakati mwingine hekima hukuzwa na experience ya mtu kwenye maisha aliyopitia.Nmejifunza kitu hapa. Kwa kuongezea Soma sana bible hasa kitabu cha mithali
Hapa Pia lazima ujue kipi kinaanza kati ya BUSARA na HEKIMA pamoja na utegemeano wake,sababu unaweza ku reason kitu ambacho ni kinyume na reality na ukajikuta katika jambo lililo kinyume na hekima.Kiuhalisia muhusika ameleta mada pana mnoo 😅😅😅Fanya Reasoning kabla hujaamua chochote hii ujenga kiwango cha juu cha busara matokeo yake uzaliwa Hekima ndani yake.
Jitahidi kusoma vitabu ambavyo vinaendana na career yako, pia kureason kabla ya kufanya maamuzi ni muhimu sana!Hekima au Hikmah ni mtu kuweza kutoa maamuzi ya haki bila kuegemea upande wowote
Kujua mambo mengi na kuyapambanua vizuri
Mtu mwenye hekima anaweza kutatua tatizo baina ya watu bila kukosea
Knowledge of the reality of things
Hekima ni mtu kuwa WISE na wisdom kama ntaeleweka
Labda nikujibu mkuu kwa uelewa wangu.Habari wana JF,
Mimi ni mgeni hapa jamvini, nomba niende moja kwa moja kwenye mada kama hapo juu inavyosema.
Ninaomba kujua hekima maana yake nini na ninawezaje kuipata.
Karibuni wakuu.
Jitahidi kusoma vitabu ambavyo vinaendana na career yako, pia kureason kabla ya kufanya maamuzi ni muhimu sana!
Huyo jamaa ni very smart personKuna Dr mmoja anaitwa Elly VD kuwa anakipindi chomoza kwa sasa anazungumzia mwanga wa akili kagusia masuala ya wisdom kama unataka kuchukua nondo mbili tatu ingia youtube tafuta somo 'la mwaka wa akili utajifunza kitu.
hahahaHekima haiji hivyo.. unaweza zungumza kidogo afu unazungumza upuuzi
Habari wana JF,
Mimi ni mgeni hapa jamvini, nomba niende moja kwa moja kwenye mada kama hapo juu inavyosema.
Ninaomba kujua hekima maana yake nini na ninawezaje kuipata.
Karibuni wakuu.