Recent content by MWAMFUPE

  1. M

    JamiiForums Tanzania Ni mwezi wa pili sasa tangu watoto watundu walipoharibu Tv ya sebuleni sijatengeneza, niendelee kukaza au imetosha ?

    ushamba tu, kwani hao watoto waliingia na shoka ndani ya tv na kuanza kukata nyaya? dalili ya umaskini ukiopitiliza, yaani tv😂😂 takataka kabisa
  2. M

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Simba 3, mashujaa 0 😂😂😂😂
  3. M

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Hivi kumbe SportPesa ni wahuni kiasi hiki?

    Sasa wakati ule ule una place bet wakati inaload odds zinaweza kushuka kutoka 3 mpk 2.8, ndo mana 1x wao wana option ya kuchagua accept odd changes if increase au unachagua any changes apo ndo zinaweza kushuka au kupanda
  4. M

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Hahaaaaa, masoko yao sasa wanayoyafuata huko mixer kusumbuana na wakala amwekee 2500 utakuta ten minutes draw odds 1.09 😂
  5. M

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Alaf mtu anaebeti na kula huwez kumkuta anapiga domo cjui option nyingi, cjui dc mara wakala, mtu aliekuwa serious na kubet huwa ana masoko yake maalu na ni haya haya ya kawaida hao wa maneno mengi ndo wale wanaokopi mikeka ya nigeria anajifanya na yy pro punter
  6. M

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Acha dharau wewe, et 1x2 na dc leta mkeka wako wa izo option unazokulaga na mm nilete mikekea ya 1x2, nyie ndo mnaobeti na jero jero mkija um maneno mengiii
  7. M

    JamiiForums Tanzania Majina gani ya maeneo/mitaa yanayokuvutia

    Lindi hiyo[emoji23][emoji23]
  8. M

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Nimekuja na mrejesho wa Samsung A series

    ukiona mtu kabla ya kukunua simu anakuja kuulizia mitandaoni ujue huyo ni sakara, kama una hela huwez kukoksa connectiona ya simu bora
  9. M

    JamiiForums Tanzania Nimeibiwa milioni 5 Stendi ya Mabasi ya Magufuli

    Una laki tano tukamroge huyo mwivi?
  10. M

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Moto kichakani: Kama mtoto hajafanana na wewe au mzazi wako, kaka huyo mtoto umebambikwa.

    Hauna akili, unajiona mjaanja unapimisha na mamako, kwan mamako ndo mtia mimba? wenzako wapo hatua 1000 mbele ya kizazi chako wanatumia dna, we endelea kujipimisha ma mama yako ukimaliza unyonye ulale
  11. M

    JamiiForums Tanzania PreGE2025 Askofu Bagonza: Kanisa likijenga Shule ama Hospitali halihojiwi na Serikali, lakini likihoji mbona dawa hakuna linaambiwa lisichanganye dini na siasa

    Si bora angesomea ujinga, huyo shule alienda kuongeza idadi ya watoro tu, wazazi wake wanajua ng'ombe yupo shule kumbe ng'ombe nae katoroka kaenda kubaka panzi.
  12. M

    JamiiForums Tanzania Bajeti ya laki 7 nataka kununua Lg home theater, mliowahi kuzitumia naomba ushauri

    Sasa huu si uchafu dogo? Haya mambo kwani bado yapo? Yaani getoo niache kuweka sound bar ya kibingwa niweke matakataka hayo, bila shaka wewe ni msukuma
  13. M

    JamiiForums Tanzania Watanzania tutaendelea kusubiri mpaka lini Bunge likitunga Sheria batili na kuuchomekea ubatili huo ndani ya Katiba yetu? Tufanye nini?

    Wamekutoa kwenye pay roll nn mkuu, mbona kama umeanza kuwa na akili
  14. M

    JamiiForums Tanzania Jirani anataka kujenga nyumba Yake Kwa kutumia fensi yangu

    Mkuu mwache ajenge akimaliza we nenda kabomoe fensi yako, alaf jenga choo pale pale ulipovunja ukuta au jenga banda la nguruwe kwenye eneo lako, mkuu adui unayemuweza usimwachie mungu
Back
Top Bottom