Recent content by Mwambomboli

  1. M

    Ninavyomfahamu Ludovick Joseph Rwezaura (kilio cha usaliti)

    Mengi yatasemwa mwisho ukweli na uongo vitajitenga
  2. M

    Watanzania kaeni chonjo,kesho tar 19.01.2013 kusini tunawadhalilisha tena mafisadi

    Viva watu wote wakusini,madini ya wazungu,wanyama pori hawana mwenyewe,sasa ninyi mmeamua mnajua gesi ni yenu na mnatetea mungu chi achumani bwana wala MUNGU hakuweka gesi kwenu kwa bahati mbaya,viva watu wote wa kusini,ukikaa karibu na waridi lazima unukie,sasa nînyi hapo tu karibu na waridi...
  3. M

    Shibuda: CHADEMA imepoteza mvuto kanda ya ziwa, mbioni kuweka mambo hadharani

    Kibudu ni nani hata awasemee watu wa kanda ya ziwa?Hafanani nao kwa haiba wala lafudhi ni msema hovyo mpaka kwenye ma bar akitukana na kumponda katibu na mwenyekiti wake,anatia huruma,ni mfamaji.Kibudu awe ni somo kwa viongozi wa CHADEMA wasipende takataka toka vyama vingine,msiwe kama chungu...
  4. M

    CHADEMA wako miungu watu,wako juu ya katiba

    Mbona hata CCM kuna watu hawaguswi,Rostam asingeondoka mwenyewe na kutamka anaachana na siasa uchwara za CCM mpaka leo angekuwa mbunge na mjumbe wa harmashauri kuu,Lowasa na Chenge wametunisha misuli mpaka mwenyekiti taifa kanywea na bungeni wakachukua uenyevti wa kamati za bunge.Sina hakika...
  5. M

    jahazi la clouds fm na sakata la kulawitiwa wanafunzi IFM sasa ni kama comedy

    Wakati mwingine upo kwenye daladala na wamefungulia hiyo radio unafanyaje?Siku moja natoka kazini wanamsema mwalimu wao wa shule ya msingi mhimbili eti alikuwa habadilishi nguo ni full umbea na dhihaka.Ningekuwa kwangu ningebadilisha lakini kwenye daladala huwezi.
  6. M

    Manumba alazwa ICU Aga Khan

    Kisasi ni cha MUNGU,msimhukumu ilanafsi yake inamsuta kama alishiri si tu kumtesa ULIMBOKA bali hata kufumbia macho watu waliomtesa,tumombee apone ila tuendelee kumuachia MUNGU wale wote waliomwaga damu za watz wengi,baadhi ni Mwangosi,wafanyabihashara wa madini,waandamanaji...
  7. M

    Upinzani Gesi ni mali ya Taifa Acheni Kuwalaghai wana Kusini Kisiasa

    Gesi ya mtwara mali ya Taifa,madini mali ya wazungu,wanyama pori hawana wenyewe ndio maana wanasafirishwa hovyo,benki kuu(EPA) mali ya mafisadi.Kwani mtwara wamekosa nini?
  8. M

    Mwigulu na tuhuma dhidi ya CHADEMA

    Mimi pia wameniudhi CHADEMA inawanasheria waliobobea kwanini inanyamazia haya?Je wananchi wakiamini kàma walivyoaminishwa na MAHITA kuwa CUF iliingiza visu kabla ya uchaguzi?Hapana ktk hili nasema hapana kesi za ubunge mbona wanafungua?Ben Sanane kasema yy atafungua mashtaka nilfurah...
  9. M

    Ufafanuzi: Majina John Heche Vs Wegesa Suguta

    Fita ni fita mura!Wanareta majungu afasari umewajibu.
  10. M

    HabariLeo: Zitto hakamatiki urais 2015

    Mpinzani wako akikuunga mkono na kukusifia tena kupiga chapuo ili wewe upitishwe jua wewe ni dhaifu anauhakika wa kukubwaga ulingoni.APIME MWENYEWE ACHUKUE HATUA.
  11. M

    Hongera CHADEMA kwa kuyashinda haya!mnatupa imani zaidi kuelekea 2015!

    Maneno ya NTUTEMEKE niyaonavyo mimi nisawa ya mwanandoa aliyepewa taraka na mumewe kwa kutokuwa mwaminifu ndani ya ndoa yao.Sasa mume anampenda lakini kashamwagwa atasema mengi sana
  12. M

    ...kuelekea 2015 - Nape kutimuliwa CCM

    Ajiandae kutafuta kazi nyingine kwani lazima awe mwanasiasa?Ataamia wapi CHAUMA?
  13. M

    Kauli za rais Kikwete akiwa Igunga si kutisha na kuingilia Uhuru wa Mahakama?

    Kama maneno anayosemaga Rais au hotuba zake zinaandaliwa na wengine nina mashaka na uwezo wao hao wanaoandaa au wanaomshauri lakini pia nina mashaka na kumbukumbu za Rais yeye si ndiye alitusimulia hadithi ya mbayuwayu.Mbona hafanyi kama mbayuwayu?
  14. M

    Walioongoza mitihani ya Darasa la saba hawa hapa!

    Shule za serikali zipi hizi ambazo viongozi waandamizi wa serikali wanaona haya kupeleka watoto wao kusoma?Ukiona mtu anampa chakula mwanao ale lakini chakula hichohicho hataki mtoto wake ale mtu huyo ni mchawi kaweka sumu.
Back
Top Bottom