Viva watu wote wakusini,madini ya wazungu,wanyama pori hawana mwenyewe,sasa ninyi mmeamua mnajua gesi ni yenu na mnatetea mungu chi achumani bwana wala MUNGU hakuweka gesi kwenu kwa bahati mbaya,viva watu wote wa kusini,ukikaa karibu na waridi lazima unukie,sasa nînyi hapo tu karibu na waridi...
Kibudu ni nani hata awasemee watu wa kanda ya ziwa?Hafanani nao kwa haiba wala lafudhi ni msema hovyo mpaka kwenye ma bar akitukana na kumponda katibu na mwenyekiti wake,anatia huruma,ni mfamaji.Kibudu awe ni somo kwa viongozi wa CHADEMA wasipende takataka toka vyama vingine,msiwe kama chungu...
Mbona hata CCM kuna watu hawaguswi,Rostam asingeondoka mwenyewe na kutamka anaachana na siasa uchwara za CCM mpaka leo angekuwa mbunge na mjumbe wa harmashauri kuu,Lowasa na Chenge wametunisha misuli mpaka mwenyekiti taifa kanywea na bungeni wakachukua uenyevti wa kamati za bunge.Sina hakika...
Wakati mwingine upo kwenye daladala na wamefungulia hiyo radio unafanyaje?Siku moja natoka kazini wanamsema mwalimu wao wa shule ya msingi mhimbili eti alikuwa habadilishi nguo ni full umbea na dhihaka.Ningekuwa kwangu ningebadilisha lakini kwenye daladala huwezi.
Kisasi ni cha MUNGU,msimhukumu ilanafsi yake inamsuta kama alishiri si tu kumtesa ULIMBOKA bali hata kufumbia macho watu waliomtesa,tumombee apone ila tuendelee kumuachia MUNGU wale wote waliomwaga damu za watz wengi,baadhi ni Mwangosi,wafanyabihashara wa madini,waandamanaji...
Gesi ya mtwara mali ya Taifa,madini mali ya wazungu,wanyama pori hawana wenyewe ndio maana wanasafirishwa hovyo,benki kuu(EPA) mali ya mafisadi.Kwani mtwara wamekosa nini?
Mimi pia wameniudhi CHADEMA inawanasheria waliobobea kwanini inanyamazia haya?Je wananchi wakiamini kàma walivyoaminishwa na MAHITA kuwa CUF iliingiza visu kabla ya uchaguzi?Hapana ktk hili nasema hapana kesi za ubunge mbona wanafungua?Ben Sanane kasema yy atafungua mashtaka nilfurah...
Mpinzani wako akikuunga mkono na kukusifia tena kupiga chapuo ili wewe upitishwe jua wewe ni dhaifu anauhakika wa kukubwaga ulingoni.APIME MWENYEWE ACHUKUE HATUA.
Maneno ya NTUTEMEKE niyaonavyo mimi nisawa ya mwanandoa aliyepewa taraka na mumewe kwa kutokuwa mwaminifu ndani ya ndoa yao.Sasa mume anampenda lakini kashamwagwa atasema mengi sana
Kama maneno anayosemaga Rais au hotuba zake zinaandaliwa na wengine nina mashaka na uwezo wao hao wanaoandaa au wanaomshauri lakini pia nina mashaka na kumbukumbu za Rais yeye si ndiye alitusimulia hadithi ya mbayuwayu.Mbona hafanyi kama mbayuwayu?
Shule za serikali zipi hizi ambazo viongozi waandamizi wa serikali wanaona haya kupeleka watoto wao kusoma?Ukiona mtu anampa chakula mwanao ale lakini chakula hichohicho hataki mtoto wake ale mtu huyo ni mchawi kaweka sumu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.