Mwambomboli
Member
- Dec 25, 2012
- 46
- 7
Mpinzani wako akikuunga mkono na kukusifia tena kupiga chapuo ili wewe upitishwe jua wewe ni dhaifu anauhakika wa kukubwaga ulingoni.APIME MWENYEWE ACHUKUE HATUA.
Habari zinazoongoza gazeti
la habari leo ni kwamba zitto ndie mtanzania anayepewa nafasi kubwa
zaidi kushinda urais 2015
Hili gazeti la wana ccm nimeshangaa kuandika habari hii ila nadhani
wamepania kumpa kichwa ili ahame chadema agawe chama. Sidhani kama zitto
anampita dr slaa hata kumkaribia
it'z a discharge of nosal mucus.....
Habari zinazoongoza gazeti la habari leo ni kwamba Zitto ndie mtanzania anayepewa nafasi kubwa zaidi kushinda urais 2015
Hili gazeti la wana CCM nimeshangaa kuandika habari hii ila nadhani wamepania kumpa kichwa ili ahame CHADEMA agawe chama. Sidhani kama Zitto anampita Dr Slaa hata kumkaribia
Habari zinazoongoza gazeti la habari leo ni kwamba Zitto ndie mtanzania anayepewa nafasi kubwa zaidi kushinda urais 2015
Hili gazeti la wana CCM nimeshangaa kuandika habari hii ila nadhani wamepania kumpa kichwa ili ahame CHADEMA agawe chama. Sidhani kama Zitto anampita Dr Slaa hata kumkaribia