Recent content by mwambojoke

  1. mwambojoke

    Maeneo gani mazuri ya kupata chakula Iringa mjini?

    Dah nikajua ngapata chombo na mimi niko hapa sielewielewi, tupeni machimbo wanyalukol
  2. mwambojoke

    Utaifa, Utalii na Uwezo wa Kujitambua: Safari ya Ndani ya Tanzania Yetu

    unaweza kutoa mapendekezo ya gharama za Malazi na malazi yenyewe. Mfano kama ni tent, au hotel au ni lodge etc.
  3. mwambojoke

    Ninatafuta mbao za mitiki kwa haraka sana

    Kuna mtu ana hiz mbao bado?
  4. mwambojoke

    Tunaomba mrejesho ujenzi wa barabara za Kitunda

    Wakazi wa hicho kipande mjitafakari mnaowachagua , mi nimepita majuzi nilijua barabara itakuwa mkeka kumbe mambi niliyoyaona kipindi cha waitara ni yaleyale.
  5. mwambojoke

    Msaada: Natafuta dawa za Kichina kwaajili ya kushusha maji kwenye shimo la choo linalojaa haraka

    Mkuu ulifanikiwa?Mwenyewe katika kucheka kwanu nimekutana na wadau wanauza lakini ni kwa KENYA. Mfano hiz hapa . Ila bado sijajua bongo wap zinaweza patikana za kufanana.
  6. mwambojoke

    Natafuta kazi ya jikoni - kuuza chipsi, kuku, supu n.k

    Biashara inaendeleaje huko? Kila la heri.
  7. mwambojoke

    Vitabu vya Darasa la tatu

    Hivi vitabu bado vinatumika mwaka 2025 baada ya mtaala kubadilika?
  8. mwambojoke

    Utapeli wa Dawa ya 'HIT' katika kuua Mbu

    kuna dawa kali zaid ya xpel kwa mbu? maana naona tumezoena sasa
  9. mwambojoke

    Ni zipi njia za kudumu za kuondokana na tatizo la mbu?

    Tatizo la mbu kwa kweli ni shida
Back
Top Bottom