Pole sana Ntigy. Bila shaka tatizo lipo kwenye ufahamu wako(subconscious mind). Kuna kitu kunaitwa trapped emotions, inasumbua watu wengi sana duniani. Njoo PM.
Nikupongeze Jimena kwa uzi mzuri. Ni bahati mbaya sana watu wameacha kufikiri kuhusu mustakabali wao, wamewaachia viongozi wao wa kiroho wafikirie kwa niaba yao. Mambo yanapoenda vile wasivyotarajia hujifariri tu eti "Mungu amependa!" Naamini wenye macho wameona uzi wako, na wenye masikio...
Mind your language LadyRed, ni kweli unatamani usinge exist.?Kuna bongofleva mmoja aliwahi kuimba 'aliwazalo mjinga ndilo humtokea'. Hii statement ni ya kweli ktk nyanja zote.
Nimependa mchango wako. Shida kubwa ipo kwa wazazi. Bahati mbaya sana na wao wanajairibu kusukumia lawama kwa watoto! Bila aibu mzazi anasema "watoto wa siku hizi wameharibika"!. Wazazi waache unafiki, wajifanyie tathmini kwanza kama ni kweli wanatimiza wajibu kimalezi kwa watoto wao!
Huenda una chuki tu dhidi ya Clouds. Walichofanya ni kitu cha kukiunga mkono. Watoto wetu wanapaswa wapewe nafasi ili wajione kuwa na wao pia wanaweza. Mimi nahisi kama hiyo kitu wangefanya wakenya kwa mfano ungewaona wa maana sana....
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.