Recent content by Mwamba028

  1. Mwamba028

    Vita kati ya Utu na VITU

    Kwenye uyo binti ulitisha sana mtibeli 👊👊👊
  2. Mwamba028

    AZAM/Bakhresa Group Yasherekea miaka 50 tangu kuanzishwa

    Ni ya nn mkuu, au ya kuona visivoonekana??😄
  3. Mwamba028

    Orodha ya Taasisi za Umma na Binafsi zenye 'njaa kali'

    Af eti boss wao bilionea 😄😄
  4. Mwamba028

    Orodha ya Taasisi za Umma na Binafsi zenye 'njaa kali'

    Ss kwa "mtu mwenye uzoefu wa muda mrefu sanaa" 2.2m ni hela ??
  5. Mwamba028

    Sumbawanga: Watu sita wamepoteza maisha na wengine 21 kujeruhiwa katika ajali ya Hiace

    Wanasiasa wako bize kutoa kafara kwa ajili ya oktoba, so sad
  6. Mwamba028

    PreGE2025 Wasomi wanaliangusha taifa kwa asilimia kubwa

    Mtoa mada una hoja, tatizo la wa tz na waafrika ni ujinga, na uendekezaji wa uchawi na wizi wa kura ni vitu vinawakatisha tamaa wasomi wengi. Binafsi nna bachelor ya Political science & Public Administration ila siasa za kibongo staki kuziskia asee
  7. Mwamba028

    Wakulima wa JF. Nikianza na kuku jike 30 and majogoo 5 na mambo yakaenda vizuri, nitarajie kupata kuku wangapi na mayai kiasi gani kwa mwaka?

    Mkuu shukrani kwa mchango wako mzuri, naomba kujua maji ni ya baridi ya kwenye friji kbs au ya kawaida ?
  8. Mwamba028

    Wanawake mmekuwa wepesi sana kugawa utamu,badilikeni

    Usnikubali haraka _ Fid Q Naunga mkono hoja ya mtoa mada, binafsi ntakukula ila stakua na imani nawe
  9. Mwamba028

    Soko la ufuta likoje kwenye mkoa uliko?

    Samahani mkuu, choma choma ndo nani?
Back
Top Bottom