Habari wanajukwaa hili muhimu,
Leo nimekuja na hoja ya kutaka kujua juu ya Elimu inayopatikana kwa njia ya mtandao (on-line) hasa kutoka vyuo vya nje.
Je, unaweza kutambulika kama mhitimu?
Je, ukiileta kibongo bongo hiyo shahada ya nje TCU hawawezi kuleta zengwe?
Msaada kwa aliyepitia huu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.