Uzandiki, ufitini na uongo wa Tundu Lissu Watanzania hatujauona ila tulichoona ni Mh. Rais kumshambulia Mh. Lissu kwa sababu zake anazojua mwenyewe ni si kwa maslahi ya Taifa. Ok, but simple mind discussing people and not the idea.
Atafanikiwa kuwadanganya wachache wasiomfahamu vizuri na kushindwa kujiuliza Lukosi ana maslahi gani? Je ni miongoni mwa wanaoguswa na matatizo ya Watanzania? Au ni miongoni mwa wanaonufaika na uovu unaoendelea nchini.
Sina chuki na binadamu yeyote aliyeumbwa na Mungu, naiheshimu kazi ya Mungu ila ninachukia matendo maovu aliyofanya Ludovick, fikiria wewe ungeundiwa tuhuma alizoundiwa Lwakatare tena kwa kuongezewa maneno ili tu utiwe hatiani ungejisikiaje? Suala la mimi kuwa mtu wa kukimbiwa haina tatizo kwani...
Umewahi kumsikia akisema neno wakati Chadema kinapata mtikisiko? Mawasiliano yake na Denis Msaky wa gazeti la Mwananchi ambaye sasa yuko kwenye sakata hili la Lwakatare kila mwenye akili utajihoji maswali mengi na siyo kumpamba kama anavyofanya mleta mada au pengine inawezekana mleta mada...
Mkuu ni mapema sana kuwataja sasa hivi. Huwezi kumjua mwanaf. atakayepata division one kabla hajafanya hata test. Ila ni jukumu langu mimi na wewe kupima na kutathmini, je huyu anayetajwa tajwa anaweza? na mikakati yake ni ipi? Kinachonishtua ni kuwa mtu anaibuka tu kusema fulani anafaa kuwa...
Mleta mada hata kama unampenda ZZK kwa hoja dhaifu ulizozitaja mwenyewe bila kujali mahitaji ya Watanzania kwa wakati huu, kujadili watu wengine wasiopaswa kuhusika ni mapungufu makubwa hata kama unayosema yana ukweli. Tambua Watanzania tunahitaji mtu jasiri na mwenye uwezo wa kupambana na...
Kushirikiana na CCM kunahitaji umakini wa hali ya juu, jiulize ni kweli unapendwa kwa dhati na adui yako au anakuvuta kwenye 18 zake kama ilivyotokea kwa mahasimu wa A. Kibanda. Tafakari ukipenda chukua hatua.
Salva Rwemamu mpaka sasa hajaona kosa la mpiga picha wa rais kushare hiyo taarifa na wafanyakazi wa Ikulu, wao kama Ikulu wameona ni sawa na hakuna tatizo ndiyo maana wanafurahia. Kweli Ikulu imepata watu, pole kwetu Watanzania.
Udhaifu na kujipendekeza kwa mataifa ya nje ni sababu pekee za rasilimali za nchi kuondoka chini ya utawala wa ccm na rais Kikwete. Watanzania turejee historia ya ukoloni.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.