Ludovick Ni mwanachama wa chadema kama wengine tu
Huyu ni kamanda mtiifu tena alie karibu sana na uongozi wa juu
Tatizo ni kwamba wakati wowote kikinuka Chadema huwa inawasahau na kuwakana makamanda wao. Na ili wasije husishwa na matatizo yako watakuita masalia.
Huu uwe mfano mzuri sana kwa makamanda wengine wa chadema kuacha tabia za kufuata upepo kwani siku kikinuka wajue imekula kwao. Watakaoumia ni ndugu na familia yako
Wenzake kina nani?. Kila mtu hapa anatoa mawazo na maoni yake kwa jinsi anavyofikiria. Hii siyo propaganda kama kwa jinsi unavyotaka tufikirie.Sasa tumuamini nani? Wenzio wanasema huyo kijana anatumiwa na chadema,
wewe unasema kajitolea kuitetea nchi yake!
Aiseee ngoja nisubiri mwingine atasema ni nani!
Ni miezi mitatu tu iliyopita LUDO alidivert email yangu kwa mjengwa na kuipeleka makao makuu yenu mkamuita shujaa na kujisifia inteligensia yenu .. leo bila aibu mnamuita masalia na kumkana kwa sababu yuko kwenye matatizo.
Tusubiri kijana aongee afunguke na hapo ndio tutajua mengi
Hakuna atakayekuamini tangu uanzishe mradi wa kukwapua simu.Kama umefikia hatua ya kuiba kwa kutumia nguvu,kama huaminiki mbele ya simu au kifaa chochote cha kielekroniki ni dhahiri hautaaminika katika hoja yoyote ile.Ni ngumu kukuamini maana wizi na uongo ni tabia zinazoendanaLUDOVICK na Ben saanane wanajuana sana.Ndio waliokuwa wakifanyakazi hapa Jf ya kukitetea chama na Dr.slaa.
Dr.slaa ndani ya chama ndiye aliyemuajili Ludovick kutokana na namna alivyoanzisha harakati vyuoni hasa Udsm za chadema.
Pia ludovick alikisaidia chama kwenye chaguzi za marais wa vyuo cumpus za udsm mwaka 2011 wenye mlengo wa chadema.
Ludovick ni mtu wa ndani wa CHADEMA.NAHOFIA IPO SIKU CHADEMA WATAKUJA KUMKANA BEN SAANANE KWAMBA HAWAMFAHAMU WAKATI NAYE YUPO KITENGO MAALUMU~USALAMA
Ludovick kwa sura iliyopo ni shushu toka ccm na hahitaji wakili kwa nafasi yake na kazi aliyowafanyia ccm.
Usiwe na wasi wasi kwa sasa, ukumbi utakao kufaa kwa kumwaga vibwanga ni mahakamani. Wewe cha muhimu kwa sasa, Muombe tu shetani ili Ludovick asikutaje mahakamani. Ndiyo maana baada ya kukamatwa, ulipatwa mshangao.Hakuna atakayekuamini tangu uanzishe mradi wa kukwapua simu.Kama umefikia hatua ya kuiba kwa kutumia nguvu,kama huaminiki mbele ya simu au kifaa chochote cha kielekroniki ni dhahiri hautaaminika katika hoja yoyote ile.Ni ngumu kukuamini maana wizi na uongo ni tabia zinazoendana
chademu ngoma ngumu, wameshikwa pabaya coz wakimkana jmaaa atazidi kuwapasua hawezi kukubali kufa peke yake atatoa hadi mafile ya chacha wangwe hehehe, na wakimkubali chademu ndio kwishnei, hii ndio mbwa kala mbwa
inawezekana CHADEMA hawajui jamaa kama ni CHADEMA au CCM. Kila mtu anahaki ya kupatiwa mwanasheria kwenye kesi yeyote ile. Kwa kumtendea haki ,ushahidi na maelezo yaliopatika mpaka sasa ni kwamba huyu kijana amerekodi mazungumzo yake na Lwakatare akampatia Mwigulu nchemba. ni jukumu la Mwigulu Nchemba na CCM kumpatia kijana wao mwanasheria haraka iwezekanavyo. lasivyo kwenye kutetea watu wao Chadema 1 - 0 CCM
Hakuna atakayekuamini tangu uanzishe mradi wa kukwapua simu.Kama umefikia hatua ya kuiba kwa kutumia nguvu,kama huaminiki mbele ya simu au kifaa chochote cha kielekroniki ni dhahiri hautaaminika katika hoja yoyote ile.Ni ngumu kukuamini maana wizi na uongo ni tabia zinazoendana
Hii kesi itaisha bila kutajana mahakamani.ila baada ya hii kesi, kuna watu watafukuzwa chadema kutokana na hujuma hii.na usishangae kuwaona wanapokelewa na Vasco Da Gama kwenye CCM kama mashujaa, na kuzunguka nchi nzima wakitumiwa kama mipira ya kiume.Usiwe na wasi wasi kwa sasa, ukumbi utakao kufaa kwa kumwaga vibwanga ni mahakamani. Wewe cha muhimu kwa sasa, Muombe tu shetani ili Ludovick asikutaje mahakamani. Ndiyo maana baada ya kukamatwa, ulipatwa mshangao.