huoni aibu,?
Unamkana kijana mwenzako ndani ya chama! Utajisikiaje mnyik akikukana wewe wakati ndiye kakupa kazi hiyo ya uandishi wa habari ya chadema?
Ludovick hakuwa kuwa na cheo chochote?.
Ludovick joseph amekuwa mwenyekiti wa chaso duce mwaka 210 to 2011.
Ludovick amekuwa mtumishi wa kitengo maalumu chadema~usalama.
Ludovick amekuwa kwenye mawasiliano ya cha chama kwenye chaguzi na jf
Nilijua HUWEZI KUMKANA LUDOVICK,NI MFANYAKAZI MWENZAKO KITENGO MAALUMU CHADEMA.
Utaishia kusema hayo maneno yenye chuki.UKWELI UTABAKI PALEPALE WEWE NI SEHEMU YA WATU WANAOTAKIWA KUKIMBIWA SANA.
SIO MZALENDO KWA TAIFA LAKO,NI KIJANA HATARI NA HUFAI KABISA.
Ludovick Ni mwanachama wa chadema kama wengine tu
Huyu ni kamanda mtiifu tena alie karibu sana na uongozi wa juu
Tatizo ni kwamba wakati wowote kikinuka Chadema huwa inawasahau na kuwakana makamanda wao. Na ili wasije husishwa na matatizo yako watakuita masalia.
Huu uwe mfano mzuri sana kwa makamanda wengine wa chadema kuacha tabia za kufuata upepo kwani siku kikinuka wajue imekula kwao. Watakaoumia ni ndugu na familia yako
Hakuna atakayekuamini tangu uanzishe mradi wa kukwapua simu.Kama umefikia hatua ya kuiba kwa kutumia nguvu,kama huaminiki mbele ya simu au kifaa chochote cha kielekroniki ni dhahiri hautaaminika katika hoja yoyote ile.Ni ngumu kukuamini maana wizi na uongo ni tabia zinazoendana[/QUOT
Ni vizuri ukajibu hoja badala ya kumshambulia mtoa hoja.
...Hata Mwigulu aliyemtuma na kuwasiliana naye kabla ya kutengeneza ile video ni uongozi wa juu wa CCM. Inaonekana huyu jamaa ni mtiifu kwa kila mtu.
Hujuma gani unayoisema?.Hii kesi itaisha bila kutajana mahakamani.ila baada ya hii kesi, kuna watu watafukuzwa chadema kutokana na hujuma hii.na usishangae kuwaona wanapokelewa na Vasco Da Gama kwenye CCM kama mashujaa, na kuzunguka nchi nzima wakitumiwa kama mipira ya kiume.
LUDOVICK na Ben saanane wanajuana sana.Ndio waliokuwa wakifanyakazi hapa Jf ya kukitetea chama na Dr.slaa.
Dr.slaa ndani ya chama ndiye aliyemuajili Ludovick kutokana na namna alivyoanzisha harakati vyuoni hasa Udsm za chadema.
Pia ludovick alikisaidia chama kwenye chaguzi za marais wa vyuo cumpus za udsm mwaka 2011 wenye mlengo wa chadema.
Ludovick ni mtu wa ndani wa CHADEMA.NAHOFIA IPO SIKU CHADEMA WATAKUJA KUMKANA BEN SAANANE KWAMBA HAWAMFAHAMU WAKATI NAYE YUPO KITENGO MAALUMU~USALAMA
Hujuma gani unayoisema?.
Kama kufichua maovu ya aina ya KIJASUSI yanayofanyika ndani ya CDM na CDM wanasema hii ni hujuma, kwa hilo sina la kuongeza.
Vasco Da Gama ndiyo nani huyo kwenye CCM?.
Video imeonyesha kiongozi mwandamizi wa CDM anapanga mipango ya KIJASUSI. Kama huyo kiongozi alikuwa anafanya hujuma kwa CDM kusingekuwa na jopo la wanasheria wa CDM wanaomtetea, wangemtelekeza kama walivyofanya kwa Ludovick pamoja na kuwa alikuwa yuko CDM makao makuu kama mfanyakazi WITHOUT PORTFOLIOSasa nani anafichua maovu ya kijasusi?au ni wewe ndiyo unafichua? Fuatilia hii kesi itakavyoenda halafu urudi tena kusoma ujumbe huu ndiyo utaelewa nina maana gani.
Video imeonyesha kiongozi mwandamizi wa CDM anapanga mipango ya KIJASUSI. Kama huyo kiongozi alikuwa anafanya hujuma kwa CDM kusingekuwa na jopo la wanasheria wa CDM wanaomtetea, wangemtelekeza kama walivyofanya kwa Ludovick pamoja na kuwa alikuwa yuko CDM makao makuu kama mfanyakazi WITHOUT PORTFOLIO
Mkuu, unachokisema ni kweli.Bado ni mapema sana kutoa hukumu kupitia kwenye hii video.Hili halihitaji ushabiki hata kidogo, kwa kuwa ukweli utajulikana as time goes.Je, umeshawahi kujiuliza ni kwanini wamemtelekeza Ludovick na kumkumbatia Lwakatare?Kama kweli wote wameshiriki, mmoja kafanya kazi ya kurekodi, mwingine kakubali kurekodiwa, ili hii video waipeleke wapi? Ukubali kurekodiwa kwa kazi ya ugaidi, na pia uandike kwenye karatasi ili iweje? Yote haya ukweli anaujua ludovick na lwakatare.na Je, kwanini DPP aliondoa hati ya mashitaka, halafu watuhumiwa wakakamatwa tena kwa makosa hayo hayo?Hawa watuhumiwa watapata nafasi ya kujitetea mahakamani na tutasikia.Hamna sababu ya kuumiza kichwa.Au kesi imeshaanza kwa kupitia jf?
Oooh, Hoja yako Taswira inaunga DOTs.LUDOVICK na Ben saanane wanajuana sana.Ndio waliokuwa wakifanyakazi hapa Jf ya kukitetea chama na Dr.slaa.
Dr.slaa ndani ya chama ndiye aliyemuajili Ludovick kutokana na namna alivyoanzisha harakati vyuoni hasa Udsm za chadema.
Pia ludovick alikisaidia chama kwenye chaguzi za marais wa vyuo cumpus za udsm mwaka 2011 wenye mlengo wa chadema.
Ludovick ni mtu wa ndani wa CHADEMA.NAHOFIA IPO SIKU CHADEMA WATAKUJA KUMKANA BEN SAANANE KWAMBA HAWAMFAHAMU WAKATI NAYE YUPO KITENGO MAALUMU~USALAMA