Recent content by mwakweya70

  1. M

    Msamaha wa Babu Seya na Papii Kocha waibuka Bungeni; Mbunge alaani kuachiwa kwao

    Bahati ya mwenzako usiilalile mlango wazi,waacheni na bahati yao ya kuepushwa wasifie jela mambo mengine yanakuwa ni mipango ya Mungu ambaye ni baba wa msamaha,unayetaka wasingesamehewa wewe hujawahi samehewa.
  2. M

    Vigogo 600 wamtembelea Lissu hospitali

    Ila ukiwaza kwa kina ni kweli,kwa nafasi zao,hata kama ni upande wa upinzani lakini muhimu,kuonekana wakiwa na wake zao,lisiwe jambo la nadra na je wakipata huo ukuu wa nchi mfano si tabia hii inaweza kuendelea ya kuwa wao ni ngenda yeka?hahahaha
  3. M

    Wakulima Mbeya wachoshwa na Serikali ya Magufuli

    Mhhh mie hapa naona kuna shida wakulima,ni neon la jumla jumla sana.Kaufafanuzi kidogo
  4. M

    Je, ni kweli babu Seya na wanawe wanalelewa na Serikali?

    Nimesoma Gazeti la leo la Tanzania Daima, ISSN 08569762 Toleo namba 4709 la Januari 24,2018. Kichwa cha Habari ''Magufuli apata mtihani mzito'' Nimeisoma habari yote nikitafuta uthibitisho wa hojaji za kiuandishi kuonyesha kwamba hawa wana muziki wanalelewa na serikali. Lakini majibu ya Mzee...
  5. M

    Nabii Titto katuletea dini inayoendana na matendo yetu

    Nabii Tito,hiyo nadhani ni kucheza na Mungu atavuna tu!
  6. M

    Ahadi ilikuwa Mahakama ya mafisadi au Mahakama ya kushughulikia wapinzani?

    Umesema vyema lakini mie naona kwa sasa kinachotakiwa kutiliwa mkazo ni kufanya kazi zitakazo leta tija kwa wananchi,siasa na malumbano ya kisiasa hayatabadili maisha ya wananchi.Pia hata vyama vya upinzani navyo sema vipo tu nje ya mfumo lakini huko nako ubabe na madudu kibao,sasa hilo ni eneo...
  7. M

    Hivi Masheikh wa Uamsho kosa lao haliwezi kusamehewa kama la akina Babu Seya?

    Nadhan muda utafika,haya mambo ni wakati tu hawezi fanya kila kitu kwa siku moja na hasa haya mambo yaliyo kisheria.
  8. M

    Habari Njema Kutoka Acacia: Wakubali Kila Kitu Ikiwemo Kulipa Kishika Uchumba Cha Dola Milioni 300

    Unajua katika kipindi hiki cha utandawazi kibiashara wamepima unga na maji ukisusa wenzio wala
  9. M

    MAJADILIANO YA MAKINIKIA: Barrick yakubali kulipa Dola Milioni 300 na kugawana faida 50/50 na Serikali ya Tanzania

    Heko rais wetu kwa hatua ya ripoti ya mazungumzo na Barrick na kile kilichofikiwa, kweli hali ikiendelea hivi hata kusaidia wengine inawezekana.
  10. M

    Lazaro Nyalandu: Nimetoka Nairobi, nimeliona Tabasamu la Tundu Lissu

    Pia kumekuwa na tabia ya kurukia hoja, na kuondoka kabisa kwenye msingi wa hoja, na kuanza kuchomekea madudu yalipo akilini kwako, hili ni kukosa kuelewa msingi wa hoja, siyo kila jambo unalivutia upande uonao wewe not fair jamani tusitaramike katika ujenzi hoja, kuliko kuwasilisha vilanga vyetu
  11. M

    Wanakijiji 2,000 nchini Zambia wameshinda kesi ya kudai haki ya kuishitaki kampuni ya kimataifa ya Vedanta Resources

    TAKRIBAN wanakijiji 2,000 nchini Zambia wameshinda kesi ya kudai HAKI ya kuishitaki kampuni ya kimataifa ya Vedanta Resources inayoendesha shughuli za uchimbaji madini ya kopa kiasi cha kuwachafulia mazingira kijijini kwao. Taarifa hiyo ni kwa mujibu wa hukumu iliyotolewa na Mahakama ya London...
  12. M

    Kampuni ya Sweden yahamishia Tanzania mradi wa umeme wa upepo wa Tirioni 5 kutoka nchini Kenya

    Hii nzuri inaitwa kufukuza mwizi kimya kimya Ooooh Tanzania wawekezaji hawatakiwi wala hawapendi kuja,sababu...blablaaa Jaman tutulie tujenge nchi siasa za maji taka si zama hizi.
  13. M

    CHADEMA: IGP Sirro hana mamlaka ya kuzuia mjadala wa sakata la Lissu

    Hizo siasa za kila siku presser kweli? Kajengeni chama matawini na mikoani huko......
  14. M

    Nyalandu aelezea afya ya Tundu Lissu

    Hivi Ugonjwa ni platform? Hebu tuache siasa katika kila jambo.
  15. M

    Serikali ihakiki digrii zote kwani zipo za kidato cha nne + cheti

    Sioni tija sana katika, hilo, kwa sababu lipo kiutaratibu wali walikuwa wakipita hatua hizo, na ukiwapima wengine wapo viwango vya juu, hakuna haja ya kukiriri mambo.
Back
Top Bottom