Kama ww ni mwanahabari kwa nn hukutoa maoni yako wakati wa kufile kesi,umengoja hukumu ndiyo unaleta malalamiko,yatasaidia nn?
Sent using Jamii Forums mobile app
Umesema panapotoka kinyesi tufute kwa karatasi,ila mkono ulioshika karatasi iliyogusa kinyesi tuoshe kwa dawa,dawa tupu bila maji?Ikiwa mkono ulioshika karatasi unaoshwa kwa sabuni na maji je pale palipotoka kinyesi penyewe?
Khoja Shia Ithnaasheri Jamat,si kampuni,ni jumuiya ya kidini ya waislamu wa shia Ithnaasheri,ni vizuri kama kitu hukijui ujisumbue kuuliza laa sivyo utaonekana kituko. ..
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.