Wewe mrundi mbona hivi?Kwa hiyo na Lazalo na sowasa, sumaeye wote walinunuliwa.
Wewe mrundi mbona hivi?Kwa hiyo na Lazalo na sowasa, sumaeye wote walinunuliwa.
U mean blank cheque ?Msigwa tunakuhitaji kwa bei yoyote ile , nitakutumia black cheque tumalizane
Ni blank cheque sio black cheque, sahihishaMsigwa tunakuhitaji kwa bei yoyote ile , nitakutumia black cheque tumalizane
Wameenda kwa matakwa yao sio kununuliwa kama mnavyonunua, watu wana clip zenu muda utasema tu subiri zitakapotolewa mkikubaliana beiIla kipindi cha Lowassa,Sumaye,mgeja,makongoro mahanga Laurence Masha,Kingunge na wengine wengi 2015 na bila kumsahau Nyarandu 2017 walikuwa wamenunuliwa kama mbuzi
* hatununua watu Kama Mbuzi Ila tunauza watu Kama Kondoo*Ametoa kauli hio kwenye kipindi kilichorushwa na Chanel Ten Usiku huu baada ya kuulizwa Kwanini Chadema Wasinunue watu Kama CCM!!
Hili jibu limenikosha saana! Barikiwa Mtumishi
Ni black au blankCheque ambayo unajaza tarakimu wewe mwenyewe
Blank chequeBlack check ndo nini tena Mkuu?
No, nilikua nafukua makaburi tu, mengine haya hapaOk. Nilidhani ni ya mwaka huu nikashangaa
Blank cheque?Msigwa tunakuhitaji kwa bei yoyote ile , nitakutumia black cheque tumalizane
Yaani mfano mzuri kwako kwa watu wazima ni huo wa tako na chupi...yaani hayo ndiyo mawazo yako yanajielekeza kutoa mfano wa tako na chupi...huna mfano mwingine zaidi ya huo wa tako na chupi..duhCcm na rushwa ni kama tako na chupi huenda sawia sawia