Recent content by Mwakinyo

  1. Mwakinyo

    Hivi Tanzania wanayo zungumzia CHADEMA ni Tanzania ipi?

    TANZANIA sio Mali ya CCM ata Roman Empire ilikuwa na Mambo ya kipuuzi ivi ivi kama CCM lakini ili collapse
  2. Mwakinyo

    Mwanamke ukiona unatongozwa basi umedharaulika na sio unapendwa

    Dar haina tofauti na sodoma na gomola kila mdada ana vikuku vya shabga apo unatongoza nini?
  3. Mwakinyo

    Picha: Nini kinamtesa Paul Makonda?

    Nitamshangaa sana mungu endapo atasikiliza toba ya mwamba
  4. Mwakinyo

    Maajabu wasomi wa chuo kikuu wanashindwa hata kujieleza kwa kiingereza

    mbona wapo washikaji wana Phd na lugha haipandi
  5. Mwakinyo

    Je, deep state ya Tanzania inamtaka nani awe Rais?

    Hata Iddy Amin alikuwepo na wafuasi ivi ivi president for life lakini alipo pata kisanga mbwambwa wote wakamkimbia
  6. Mwakinyo

    Je, deep state ya Tanzania inamtaka nani awe Rais?

    Kapewa pewa tu mzee kazisoma akiwa waziri!
  7. Mwakinyo

    Je, deep state ya Tanzania inamtaka nani awe Rais?

    kavuka kwa mabavu angeweka ngoma ipigwe apo free uone kinachomtokea
  8. Mwakinyo

    Je, deep state ya Tanzania inamtaka nani awe Rais?

    Hautakiwi mkuu one term inakutosha
  9. Mwakinyo

    Je, deep state ya Tanzania inamtaka nani awe Rais?

    Kwanini mwinyi hakuwa na nguvu?
  10. Mwakinyo

    Uhusiano kati ya CHADEMA na ACT-Wazalendo ni tete sana

    Alafu lipumba ni CHADEMA
Back
Top Bottom