Recent content by Mwakikusi

  1. Mwakikusi

    Edo Kumwembe: Fiston Mayele anaumia sana kuona Yanga inafanikiwa bila yeye

    Yaani ni sawa na kuachana na mpenzi wako halafu kuendelea kumuona bado amenona
  2. Mwakikusi

    Katibu wa UVCCM Lulandala ana umri gani? Mbona kama umri umesogea?

    Vijana wengi wabovu hawawezi kujisimamia.Ngoja wasaidiwe na Umoja wa wazazi.
  3. Mwakikusi

    Tunaposema CCM imeishiwa watu muwe mnaelewa Katibu Mkuu UVCCM ametokea CHADEMA

    Unamfahamu Lulandala wewe?!, Mfumo kitambo na Chadema mtamalizwa wote na watu mnaowaamini CCM ni dola
  4. Mwakikusi

    Waziri Mkenda, kiokoe Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (UDSM) kwa kusimamia kauli yako

    Mzee sasa hivi kila chuo kinaajili wahadhiri wenye GPA 3.8 undergraduate hakuna njia ya mkato utaratibu ni huo.Hao wa 3.5 wakafundishe vyuo vya Kati huko tengeru,hombolo,Utumishi na vingine vinavyofanana na hivyo.ACHA LAWAMA
  5. Mwakikusi

    Kuuziwa chakula bei juu kwa Wasafiri ni kero kubwa

    We njaa ya siku moja itakuua? Achana nao,Mimi huwa sili chakula nakaa Tu mpaka nikifika.Au huwa nabeba kiporo changu nusu ya safari nakipiga
  6. Mwakikusi

    Kilichomuua Ally Sonso hiki hapa, wachezaji, klabu zamlilia

    Kwa hiyo hapa kikichomuua ni kipi kama ulivyodai kwenye kichwa cha habari hapo?
  7. Mwakikusi

    Tunaelekea kuwa taifa la kike la mfano duniani

    Acha ubaguzi wa kijinsia
  8. Mwakikusi

    Rais asikitishwa na kifo cha mke wa RC Shigella, kuhusu vijana waliopotea hasikitishwi?

    Uongozi KAZI kubwa sana ufanye nini uonekane upo sahihi? Mbona Mkuu wa Mkoa, Waziri na viongozi wa ulinzi na usalama wengi wameenda? Na si vyema kumu attack Rais ilihali tatizo analijua atakwenda na kuwa comfort
  9. Mwakikusi

    Rais Samia awaapisha viongozi mbalimbali aliowateua, yumo Mtendaji Mkuu wa Mahakama na Mabalozi

    Huyu balozi aliyekuwa mnadhimu wa jeshi amekwama wapi? Yakoub
  10. Mwakikusi

    Uchaguzi 2020 Adam Mchomvu ampiga mtama Emmanuel Mbasha stejini kwenye tamasha la CCM uwanja wa Uhuru

    Hana adabu yule Mbasha.Hata hivyo ule mtama wa kichovu sana.Angempiga vizuri ang'oe hata jino.
  11. Mwakikusi

    KUKANUSHA UPOTOSHAJI WA MTU ANAYEJIITA ABDUL NONDO KUHUSU CHUO CHA KUMBUKUMBU YA MWALIMU NYERERE

    Ndugu wana jumuiya wa chuo cha kumbukumbu ya Mwalimu Nyerere na wadau wote wanaohusika,kumekuwa na habari ya upotoshaji iliyotolewa na mtu anayeitwa Abdul Omary Nondo kwamba chuo cha kumbukumbu ya Mwalimu Nyerere kimenyang'anya haki za wanafunzi, habari hizo si ZA KWELI kwa sababu Abdul Nondo...
  12. Mwakikusi

    Chuo cha Mwalimu Nyerere Memorial kinapokonya haki za wanafunzi

    Wewe siyo msemaji wala mwanafunzi wa Mwl Nyerere Memorial Academy hangaika na mambo yako yaliyokushinda usihangaike na vitu visivyokuhusu HUKIJUI CHUO CHA KUMBUKUMBU YA MWALIMU NYERERE hivyo hata taarifa zake ulizonazo ni za uongo Sent using Jamii Forums mobile app
Back
Top Bottom