Recent content by Mwakikusi

  1. Mwakikusi

    JamiiForums Tanzania Tuache unafiki mtu usiku kucha umekesha unakula vyakula vya kutosha halafu next day unajifanya saumu imekaza😆

    Mpaka saa 10 asubuhi njaa itatokea wapi mchana
  2. Mwakikusi

    JamiiForums Tanzania Wanaume hatupendi wadada wanaojiremba kupitiliza

    tena ni kinyaa kwelikweli na huwa anawasha ukimgusa
  3. Mwakikusi

    JamiiForums Tanzania JK ni kweli kazaa na mtoto wa ROSTAM?

    yakiwa na ukweli yatakusaidia nini?
  4. Mwakikusi

    JamiiForums Tanzania Edo Kumwembe: Fiston Mayele anaumia sana kuona Yanga inafanikiwa bila yeye

    Yaani ni sawa na kuachana na mpenzi wako halafu kuendelea kumuona bado amenona
  5. Mwakikusi

    JamiiForums Tanzania Mke anamnyima mumewe tendo la ndoa, nini kifanyike?

    Tanzania yetu
  6. Mwakikusi

    JamiiForums Tanzania Katibu wa UVCCM Lulandala ana umri gani? Mbona kama umri umesogea?

    Vijana wengi wabovu hawawezi kujisimamia.Ngoja wasaidiwe na Umoja wa wazazi.
  7. Mwakikusi

    JamiiForums Tanzania Tunaposema CCM imeishiwa watu muwe mnaelewa Katibu Mkuu UVCCM ametokea CHADEMA

    Unamfahamu Lulandala wewe?!, Mfumo kitambo na Chadema mtamalizwa wote na watu mnaowaamini CCM ni dola
  8. Mwakikusi

    JamiiForums Tanzania Waziri Mkenda, kiokoe Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (UDSM) kwa kusimamia kauli yako

    Mzee sasa hivi kila chuo kinaajili wahadhiri wenye GPA 3.8 undergraduate hakuna njia ya mkato utaratibu ni huo.Hao wa 3.5 wakafundishe vyuo vya Kati huko tengeru,hombolo,Utumishi na vingine vinavyofanana na hivyo.ACHA LAWAMA
  9. Mwakikusi

    JamiiForums Tanzania Kuuziwa chakula bei juu kwa Wasafiri ni kero kubwa

    We njaa ya siku moja itakuua? Achana nao,Mimi huwa sili chakula nakaa Tu mpaka nikifika.Au huwa nabeba kiporo changu nusu ya safari nakipiga
  10. Mwakikusi

    JamiiForums Tanzania Kilichomuua Ally Sonso hiki hapa, wachezaji, klabu zamlilia

    Kwa hiyo hapa kikichomuua ni kipi kama ulivyodai kwenye kichwa cha habari hapo?
  11. Mwakikusi

    JamiiForums Tanzania Tunaelekea kuwa taifa la kike la mfano duniani

    Acha ubaguzi wa kijinsia
Back
Top Bottom