Recent content by Mwakikusi

  1. Mwakikusi

    JamiiForums Tanzania MICHEZO NA VICOBA VINAVYOUA NA KUDHALILISHA NDOA ZA WENGI

    Yaani muda wote hawana furaha hata akifanya tendo anatimiza wajibu tu
  2. Mwakikusi

    JamiiForums Tanzania MICHEZO NA VICOBA VINAVYOUA NA KUDHALILISHA NDOA ZA WENGI

    Wananchiiiiiiiii......... Hivi mnajua kwa asilimia kubwa za wanawake wanaojishughulisha na michezo ya fedha na upatu wanakuwa ●Hawapendi tendo la ndoa ●Wanakuwa na upuuzaji wa wenzi wao ●Wanakuwa watumwa wa madeni mitaani na kwenye taasisi ●Wengi wanaanza "Umalaya" ili kukidhi marejesho...
  3. Mwakikusi

    JamiiForums Tanzania Wanawake wakiolewa na kuzoea ndoa wanakuwa na jeuri

    Unajua mwanaume kuna namna anapenda kuwa treated? Na hata akiwa anamsaidia mkewe kazi huwa kuna namna anapenda achukuliwe,mbaya zaidi wanawake wakihisi wanasaidiwa wanazoea na anaweza hata kukutuma
  4. Mwakikusi

    JamiiForums Tanzania Wanawake wakiolewa na kuzoea ndoa wanakuwa na jeuri

    Kumbe ni muhemko?
  5. Mwakikusi

    JamiiForums Tanzania Wanawake wakiolewa na kuzoea ndoa wanakuwa na jeuri

    Daah.
  6. Mwakikusi

    JamiiForums Tanzania Wanawake wakiolewa na kuzoea ndoa wanakuwa na jeuri

    Kuna muda huwa nawaelewa sana vijana single boys wale wana enjoy sana maisha
  7. Mwakikusi

    JamiiForums Tanzania Wanawake wakiolewa na kuzoea ndoa wanakuwa na jeuri

    Angalau waislamu wanajitahidi
  8. Mwakikusi

    JamiiForums Tanzania Wanawake wakiolewa na kuzoea ndoa wanakuwa na jeuri

    Wanawake wa siku hizi wanaelewa? ukiwaelekeza wanakuja juu na ukikaa vibaya unagombezwa
  9. Mwakikusi

    JamiiForums Tanzania Wanawake wakiolewa na kuzoea ndoa wanakuwa na jeuri

    Atalia vibaya sana huyu
  10. Mwakikusi

    JamiiForums Tanzania Wanawake wakiolewa na kuzoea ndoa wanakuwa na jeuri

    Kwa muda mrefu nimeshuhudia na kujionea (personally) wanawake wakiolewa na kuzoea ndoa wanakuwa na jeuri. Hawaandai chakula vizuri,wanapika kwa kujivuta mfano,chai saa 5,lunch saa 9,dinner saa 3 usiku.Na wengi wao wakija wageni wanawahudumia kuliko mume,na ndugu zake anawaheshimu mpaka kusahau...
  11. Mwakikusi

    JamiiForums Tanzania Swali kwa Polisi: Mtu anajinyongaje Mahabusu na hana kifaa chochote?

    Jambo zito
  12. Mwakikusi

    JamiiForums Tanzania HOJA Uchunguzi ufanyike kuhusu mifumo ya Chuo cha Mwalimu Nyerere pale Kigamboni, vijana wangu wamefutiwa matokeo

    Ndugu yangu wewe ni mzazi na watoto wako wote 6 wapo Mwalimu Nyerere.Ongea na hao watoto wako 6,wamekudanganya kwamba wanaonewa ilhali wamefanya makosa dhahiri.Kama kweli wamehusika sheria itasema.Sheria,taratibu na kanuni haziangalii hata kama umebakiza mwezi mmoja kuhitimu.Nenda Chuo wasiliana...
Back
Top Bottom