Mzee sasa hivi kila chuo kinaajili wahadhiri wenye GPA 3.8 undergraduate hakuna njia ya mkato utaratibu ni huo.Hao wa 3.5 wakafundishe vyuo vya Kati huko tengeru,hombolo,Utumishi na vingine vinavyofanana na hivyo.ACHA LAWAMA
Uongozi KAZI kubwa sana ufanye nini uonekane upo sahihi? Mbona Mkuu wa Mkoa, Waziri na viongozi wa ulinzi na usalama wengi wameenda? Na si vyema kumu attack Rais ilihali tatizo analijua atakwenda na kuwa comfort
Ndugu wana jumuiya wa chuo cha kumbukumbu ya Mwalimu Nyerere na wadau wote wanaohusika,kumekuwa na habari ya upotoshaji iliyotolewa na mtu anayeitwa Abdul Omary Nondo kwamba chuo cha kumbukumbu ya Mwalimu Nyerere kimenyang'anya haki za wanafunzi, habari hizo si ZA KWELI kwa sababu Abdul Nondo...
Wewe siyo msemaji wala mwanafunzi wa Mwl Nyerere Memorial Academy hangaika na mambo yako yaliyokushinda usihangaike na vitu visivyokuhusu HUKIJUI CHUO CHA KUMBUKUMBU YA MWALIMU NYERERE hivyo hata taarifa zake ulizonazo ni za uongo
Sent using Jamii Forums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.