Recent content by mwakibete

  1. M

    Ujumbe wa Yericko Nyerere kuhusu Mchungaji Msigwa huu hapa

    Amini Amini nakuambia, Ni suala la muda tu. Msigwa anarudi CHADEMA. Alichokifanya ni kama kuachana na mwenza wako halafu ukawahi kuoa au kuolewa na mwingine yeyote ili kumkomoa ex wako ili hali unajua kabisa mapenzi yako yapo kwa uliyemuacha.
  2. M

    Hongera Mkuu wa Kituo cha Polisi Igunga kwa kuchangia tone tone!

    Amini amini nawaambieni, njia ya huyu askari ni nyoofu sana na huu ndiyo utumishi.
  3. M

    Mbona malalamiko mengi kwenye nyumba za kuficha Bati (Hidden Roof), Mafundi wanakosea nini hadi zinavuja?

    Wapo wanapatikana mkuu. Kwa faida ya wengi mpigie huyu jamaa anaitwa Mrema, 0719344455. Huyo habahatishi kazi yake. Instagram anatumia "mrema_brands_mapaa". Ni mmoja kati ya mafundi nimekutana nao hawana hadithi.
  4. M

    Mbona malalamiko mengi kwenye nyumba za kuficha Bati (Hidden Roof), Mafundi wanakosea nini hadi zinavuja?

    Kabisa mkuu. Yaani wakikaa vijiweni unaweza usifanye jambo lako kwa kukatishwa tamaa nao. Halafu huwa wanatoa fact za kuambiana vijiweni. Mafundi maiko ni noma sana. Binafsi najiweka rehani kwa anayehitaji fundi mzuri wa contemporary house. Anafanya kazi kwa weredi sana.
  5. M

    Mbona malalamiko mengi kwenye nyumba za kuficha Bati (Hidden Roof), Mafundi wanakosea nini hadi zinavuja?

    walio wengi wanaojiita mafundi wa mapaa si mafundi wa kweli. Tafuta fundi mzuri na utaachana na story za vijiweni!
  6. M

    Nimekuta taulo ya hedhi ya mke wangu iliyotumika imehifadhiwa kabatini, ina maana gani

    Halina shaka hilo na usiwe na imani haba. Yamkini anakusanya aje achome kwa pamoja.
  7. M

    TANZIA Bernard Kamilius Membe afariki dunia

    Kwa Lugha nyepesi kabisa na hili liweze kufahamika kwamba kwa namna yoyote ile utawala wa chama kile umefika ukomo, kwani hata huyu angekuwa kiongozi wa nchi, saizi taifa lingekuwa kwenye maombolezo. Hizi ni ishara tu na kama kutakuwa kuna kulazimisha kubaki katika utawala baada ya miaka 40 ya...
  8. M

    Wazazi wamkataa mchumba wangu kisa mahari ni ndogo

    Kwa nini wazazi wakatae heshima kubwa kama hiyo? Kuna jambo moja unaweza lifanya kama kweli una hakika na mchumba wako. Ni gumu ila litatengeneza njia. Kaeni chini mukubaliane, beba mimba yake na nyumbani ukiulizwa sema ni ya huyo jamaa walemuona maskini. Baba ataitisha kikao cha kwanza cha...
  9. M

    Kama ni kweli Masanja, huu ndiyo mtihani mkubwa unahitaji kuushinda

    Niliwaza na kujisemea kama ulivyoandika. Kama tukio lililosababisha kifo cha jamaa ni kweli, basi jamaa sidhani kama kajinyonga mwenyewe. Ipo namna.
  10. M

    Ukweli mchungu ni kuwa Tundu Lissu hawezi kuwa Rais wa nchi hii, hana sifa za kuwa Mkuu wa Nchi

    Amini Amini nakwambia, Hujafa Hujaona Tundu Lissu kuwa Rais wa TZ. Fanyia Lamination Hili Andiko.
  11. M

    Tundu Lissu atakuja kuwa Rais wa nchi hii

    Nakuombea Uhai. Hautokufa hujashuhudia Tundu Lissu kuwa Rais wa hii nchi.
  12. M

    Tundu Lissu atakuja kuwa Rais wa nchi hii

    Mkuu sijajua umeandika ukiwa na mtizamo gani. Binafsi nazungumza kwenye spiritual angle. Ulichokiandika NDICHO KILICHOPO. Huko aliko ni namna ya yeye kuendelea kusukwa. Hajafa Hajawa Rais wa Tanzania.
Back
Top Bottom