hilo utajibiwa siku nyingine mkuu..cha msingi hapa Manji analalamika nchi haimthamini.
kwani yeye aliithamini lini labda?
Manji anaishi Tanzania ila sina uhakika kama ni Mtanzania
Issue sio likizo kusogezwa mbele au kufutwa...issue ni lini walioshiriki upotevu wa containers2000 na zaidi watashughulikiwa?
Naibu wangu waziri wa fedha na CG Mpango tunaomba utufilisie walioshiriki upotevu wa containers2000 tafadhali, kwa sababu naona kama hili suwala linapotezewa vile
Msilazimishe kitu kisichokuwepo, Dk. Hosea hakuna aliempitishia memo ni uzembe wake na kukosa uzalendo mwacheni tuu amepata alichokitaka.
Hatujamsikia ata siku moja akitema cheche japo kwa kutudanganya, ataweza leo?
naomba tuleteeni hoja zilizoshiba...orodhesheni majipu yatumbuliwe...kuna vitu...
Tena uyo m-bunge mkewe nae anahusika na zile containers 2143kama sijakosea idadi, Masamaki kwa kuona mwenzie anaiba pia akamuhamishia mke wa m-bunge TRA-mwenge..
wale wote wezi tuu..kuna kila sababu ya kurekebishwa hizi sheria zetu haiwezekani muhujumu uchumi anakaa ndani wiki tatu na anapewa dhamana nyepesi ivyo..
Billion 2 ni pesa ambayo Habibu na Masamaki wanaweza kujikusanyia ndani ya wiki moja tuu...tujiulize ni tokea lini wamekua wakijikusanyia...
Mkuu tulia Dsm upige kazi...usije ukatolewa demo.
Tena umkumbushe na yule penda penda Dr. Y.K asahau hiyo mambo kwa mwaka huu na ujao, kwani watu wanamfuatilia kwa karibu, yeye kila siku Ulaya kana kwamba wakulima na wafugaji wakitanzania wanaishi Ufaransa.
Sioni sababu ya kumkosoa Naibu Waziri kwa kiwango hiki..
Tulikua tukiilaumu serikali na wizara ya elimu kwa kushindwa kusimamia elimu kiasi cha mtoto anafika darasa la 7 hajui kusoma wala kuandika, hakuna aliemlaumu mzazi kwa kushindwa kufuatilia maendeleo ya mtoto wake shuleni, leo Naibu...
Nakuunga mkono mkuu...
Nilikua ninasoma sana mwanahalisi..lilikua linanyambua sana kuhusu Luwasa na ufisadi wake
Daaah kumbe lilikua haliongei kwa Uzalendo namaslahi ya Watanzania kama nilivyokua nikifikiri.
Sasa mtu aliemuamini/anaeamini kinachoongelewa na Kubenea, Tundu Lissu, Mnyika, Mbowe...
:A S-fire1::A S-fire1::A S-fire1:
Nilimsikia Dk. Mwakyembe siku chache kabla ya uchaguzi, alikua anaulizwa na muendesha kipindi, KWANINI WASIEMPELEKE LOWASA MAHAKAMANI-KULIKO KUENDELEA KULALAMIKA KUA NI FISADI.
IU la Mwakyeme: alisema JINAI haina mwisho
Kwa anaefanya biashara zake kiuhalali Mashine za-EFD sio tatizo..
Na anaesema mfumo wa ukataji kodi wa EFD ni tatizo nadhani hajaelewa kuhusu hizo mashine, binafsi tatizo nililo liona ilikua ni mfanya biashara kuikopesha serikali pesa ya kununulia EFD machine.
Kwa sababu kiuhalisia ile gharama...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.