Nadhani ungeshangaa zaidi mtu unapotaka kuoa kwa maslahi yako na umejiandaa vyema lakni bado unachangisha marafiki. Kuchangishana ni dhana ya kuonesha kuwa tuko pamoja. Siyo kipimo cha kutomudu.
Habari wanajamvi!
Nimepita mara mbili kwenye daraja la Mkapa linalounganisha jiji la Dar es Salaam na mikoa ya kusini na kukuta hakuna askari upande wowote wa daraja. Vibanda vilivyojengwa kwa ajili ya askari kukaa vimefungwa na makufuli kabisa. Jeshi la polisi lisifanye masihara na hivi vitu...
"Doctors at the hospital where Robert Mugabe is being treated have told his family to expect the worst."
Is it possible kwa madakatari kusema kauli kama hii?
Tunakoelekea utahoji matumizi ya mshahara wa mbunge. Mbunge kazi yake ni kupaza sauti za wananchi wa jimbo na kusimamia kuhakikisha zinatekelezwa. Tukianza kuwapima kwa matumizi ya hela yao binafsi tunakuwa tunapoteza uelekeo.
Pia kumbuka hiyo hela ni mkopo which means kama hujazalisha inakuwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.