Mr Hero
JF-Expert Member
- Jun 11, 2015
- 5,540
- 7,464
Muda si mrefu nimesikia yule mgonjwa aliyesaidiwa na Mh: Rais matibabu kama mtakumbuka aliongea nae na akatoa pesa yake kwa ajili ya matibabu ,basi taarifa toka Muhimbili jamaa kishatibiwa amepona ila kagoma kutoka hospital anataka aendelee kupiga shavu tu pale.
Na pia jamaa kipindi yuko pale anatibiwa akaanza kuwadanganya yeye mtu wa usalama wa taifa na yuko pale pale kwa kazi maalum.
Nimemsikia msemaji wa hospitali anasema sasa wanataka wampime vipimo vya akili huenda wanamlaumu bure
Chanzo: Magic fm
Na pia jamaa kipindi yuko pale anatibiwa akaanza kuwadanganya yeye mtu wa usalama wa taifa na yuko pale pale kwa kazi maalum.
Nimemsikia msemaji wa hospitali anasema sasa wanataka wampime vipimo vya akili huenda wanamlaumu bure
Chanzo: Magic fm
Last edited by a moderator: