Hatari ni kubwa sna katika hii hali maana mimi nina clip moja nimetumiwa na rafiki yangu whatsapp mpaka sasa sijaielewa inamuonyesha kiongozi wa kiisilam mwenye nafasi ya shekh akisema kuwa shekh akiuwawa muisilam akiachoma matairi barabarani au akiandamana ameshinda inatakiwa amkamate Padri...
Bado sijaoa ila natamani kuona iyo kitu kwa sababu nakumbuka mara ya kwanza kujua kuwa ilo swala ni gumu kwa mwanamke mwalimu wangu wa biology ndio aliongea na akashauri kuwa inapendeza mume kuwepo ili ajue ni jinsi gani mke anavyopata shida na iyo itaongeza kumjali na kumpenda mke me binafsi...
Lakini kunabaadhi ya vitabu vinakupa hata mistari biblia kama uthibitisho wa wacho kiandika na hata Yesu mwenyewe alisema ukiwa na imani kama chembe ya harabani unaweza kuuamuru mlima ung'oke na ukajitose baharini kwa hiyo kilichopo ni sisi hutuwezi kutumia kile kilicho ndani yetu maana...
Npenda sna vitabu vya namna hiyo big upo bro icho cha the secret sijabahatika kukiona nitajitahidi kukitafuta ila pia ukiwa na muda naamini tutaona na review ya the power of your subconscious mind, success through positive thinking...!
Imani yangu imebaki kwa viongozi wa upinzani hususani CMD nyie ndio wakombozi wetu hatuna kimbilio lingine Mungu awe nanyi awape hekima na busara na kufanikisha kila mnalo lipnga tupo nyuma yenu kwa maombi na sala. Mungu akiwa upande wetu ni nani aliye juu yetu. Mungu ibariki CDM viongozi wake...
Nia tunayo sababu tunayo na hata nguvu tunayo tuungane watanzania kwa ujumla wetu kuitoa ccm wala sio kosa tidhama kwa makini utaona ni jinsi gn hawana nia njema nasi 100% naungana na mtoa hoja
Tanzania daima inatakiwa muandike habari za kweli na ambazo mna uhakika nazo ila hao viongozi huwa wanatoa ahadi na matamko ya uongo na hakuna hata siku moja wametuomba radhi Tanzania daima ni waungwana kuliko hata hao walioandikwa kama ni kweli maana me sijaona hayo magazeti!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.