LIVE: Arsenal VS Bayern Munchen...

LIVE: Arsenal VS Bayern Munchen...

Ukilinganisha defence,kiungo na ushambualiji utagundua weak link ya Bayern ni defence halafu kuna tofauti kubwa sana ya game za local league ukilinganisha na Champs(angalia perfomance ya Chelsea,ManCity,Dortmund,Bayern,ManU kwenye local league na CL)
Kwenye Champs league Bayern amefunga magoli 15 na amefungwa magoli 7 katika mechi 6 nafikiri unaona tofauti ya local league na CL
 
huku ni kujisahaulisha kichapo cha milan kutoka kwa barcelona kesho, ni strategy ya kukabiliana na pre-game stress, anxiety & panic attack!
 
Mkuu nafikiri haufuatilii kwa karibu Bundesliga. Msimu huu wa ligi, Byaern wafungwa magoli 7 tu katika mechi 22! Utapata wapi defence nzuri zaidi ya hiyo Ulaya?

mara nyingi huwa tunaongozwa na ushabiki ama upenzi wa hivi vilabu kabla ya uhalisia, ukweli ni kwamba hawa jamaa (b.munich) wako vizuri mno tena kila nafasi zaidi ya hao arsenal, sitaki kusema moja kwa moja kwamba huu ndo mwisho wa arsenal kwenye ucl msimu..japo inaweza kuwa kinyume chake
 
huku ni kujisahaulisha kichapo cha milan kutoka kwa barcelona kesho, ni strategy ya kukabiliana na pre-game stress, anxiety & panic attack!


Gonga hata hodi basi, we unaingia tu kulupu bila kujali kuna watu wazima humu au laa...
Haya jukwaa la mapishi wazima?
Leo umejifunza kupika nini?
Kisamvu kwa Karanga au kwa Ufuta?
 
arsenal leo kipigo hakikwepeki! Kuna jamaa wa arsenal nimwemwambia yeye aweke jiwe mimi naweka elfu 50. Leo mtajuta na wachezaji wenu wa bei poa
 
Misimu yote ucl huwa kuna kuwa na matokeo ya kustajabisha inaweza yakawa ars vs munich alafu ars wakichomoka hapo mpaka final.
 
Hata ujae vp hauwezi kudunda Baharini...
miujiza ya mwisho ni ile ya yule mzee wa Loliondo ambaye juzi kati ameonekana anatoka pharmacy kununua mkojo wa Punda

Nimeipenda hata udunde vipi, mpira haudundi baharini,, so hata Ac milan ya sasa kumtoa Barca ni ndoto za alinacha
 
Mechi ya leo ni ngumu ila ushindi naamini upo upande wa Arsenal.....Am arsenal till i die.
 
FC BUYERN MUNIC vs ARSENAL!!!!!!!!!Juz juz tu nimefungwa na blackburn,sina amani kabisa
 
Mpira unadunda hata Chelsea hawakutegemewa kama wanafanya maajabu.
 
Leo tufungwe tusifungwe but mtamtambua JW!
 
Yaani Gang umeandika thread kinazi kweli,ila baadaye msikimbie.


Mimi siwezi kukimbia JF...
Mimi na JF mpaka kufa...
Tangu February 2008 mpaka leo sijalikimbia jukwaa hili...
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom