Habari wana JF,
Naomba msaada wa kisheria kuhusu dhamana. Kuna mtu kakamatwa kwa kosa la kufanya mapenzi na mwanafunzi. Katika mashariti ya dhamana ni kwamba anatakiwa awe na wadhamini wawili watumishi, sasa swali langu; Je, mwalimu anaweza kumuwekea dhamama mtu kama huyo?
Asanteni
Sent using...
Sifi mara mbili
Pesa zako zinanuka Temptation and other stories
A bed of roses
Kiu ya haki
Hiba ya wivu
Zawadi ya ushindi
Sent using Jamii Forums mobile app
Kipengele cha barua bado nakikumbuka kutoka IKIBIDI KUFA NIFE
Mpendwa dada
Ni matumaini yangu kwamba u mzima na unaendelea vyema.pole kwa kazi pamoja na shughuli mbalimbali uzifanyazo huko.utakapo hali yangu mimi ni mzima.
Nimeona nikuandikie barua hii ili kukuambia au kurudia baadhi ya maneno...
Isaac Newton, was an insecure person, arrogant and rude.he suffered two nerves breakdown like Robert Hook.he never had a girl friend and never married.his great achievement was to show that Mathematics can be used to state a set of laws which explains so much about our universe.R.I.P the great...
Wataalamu wa lugha wanasema mojawapo ya kazi ya lugha ni kuanzisha na kuendeleza mahusiano mazuri ya watu (PHATIC FUNCTION) Kupitia mambo mbalimbali kama vile SALAMU (kutoa ama kuitikia) na unaposalimiwa lazima uitike positively hata kama una matatizo ili kuepuka kumkwaza au kumchelewesha mtoa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.