Mwailongola
Member
- Nov 29, 2018
- 29
- 38
Habari wana JF,
Naomba msaada wa kisheria kuhusu dhamana. Kuna mtu kakamatwa kwa kosa la kufanya mapenzi na mwanafunzi. Katika mashariti ya dhamana ni kwamba anatakiwa awe na wadhamini wawili watumishi, sasa swali langu; Je, mwalimu anaweza kumuwekea dhamama mtu kama huyo?
Asanteni
Sent using Jamii Forums mobile app
Naomba msaada wa kisheria kuhusu dhamana. Kuna mtu kakamatwa kwa kosa la kufanya mapenzi na mwanafunzi. Katika mashariti ya dhamana ni kwamba anatakiwa awe na wadhamini wawili watumishi, sasa swali langu; Je, mwalimu anaweza kumuwekea dhamama mtu kama huyo?
Asanteni
Sent using Jamii Forums mobile app