Recent content by mwaikf

  1. M

    Bashe ajibu mashambulizi ya Nape Nnauye

    Duuuu manyoyaaa ni balaaa. Nimecheka sana
  2. M

    Wazanzibari waja juu: Kama sio Makongoro, basi safari hii ni Mzanzibari!

    Kama kikwete kaweza kuzuga zuga miaka kumi kweli nani atakae shindwa hebu acheni kila mtu ajaribu. Tena ingekuwa urais miaka miwili miwili ili mpaka na sisi utufikie
  3. M

    Kinyefunyefu...! Cha shishiemu

    Yaaan wanatia hasira hawa ma jambazi ccm
  4. M

    Nimerekodiwa video ya ngono bila kujijua. Nifanyeje?

    Doooh umeuwa binti wa ngowi
  5. M

    Wema Sepetu amefunguka kuwa yeye ni mwana CCM

    Namuoona yuleee anakuwa mwenyekiti wa ulinzi na usalama wilaya fulani
  6. M

    Ukweli mchungu kuhusiana na Waziri Mkuu mh. Pinda

    Jamani pinda nae achukue hii nchi bora nihamie rwanda
  7. M

    Hatua za haraka zichukuliwe kuokoa jahazi la utalii mabasi kuzuiwa Kenya JNIA

    Kweleakwelea umenitoa machozi na maneno yako. Siioni tanzania inayofikiriwa
  8. M

    IGP Mangu asipowajibika kwa uhuni wa polisi waliofanya jana nitaandaa maandamano nchi nzima

    Tena nawaendelee kuuliwa na kuporwa silaha shuwahin wahead hao
  9. M

    Askofu Kilaini: Nitazirejesha fedha za Rugemalira

    Si alisema ni matoleo sasa kama zishatumika na kanisa atazitoa wapi? Viongozi wetu wa dini hawa mbona changamoto!!!!!
  10. M

    Jokate: Diamond hana akili timamu

    Mbavu zangu mimiiii.
  11. M

    Mwanasheria Mkuu wa Serikali, Frederick Werema ajiuzulu

    Hii nchi ni maajabu ya nane na ya tisa ya dunia. Iko siku kitaeleweka tu
  12. M

    Alasiri ya Ijumaa: usikose!

    Ntajifungia gest tena isiyo na tv heri nipate maambukizi ya vvu kuliko kumsikiliza msanii prof jk
  13. M

    Wasomi vyuo vikuu Dodoma watoa tamko kuunga mkono tamko la Jumuiya ya Wanazuoni

    Jamani hao vilaza wanajiita wasomi vyeti vyao vimejaa makarai shen..xy kabisa. Eti wasomi vijana. Kujaza server tu na ushuzzyy wenu pumbaf
  14. M

    CCM yaamua kupora ushindi liwalo na liwe

    ---- la buku saba lipo kazini. Hutaki sikia lolote
Back
Top Bottom