Bashe ajibu mashambulizi ya Nape Nnauye

Bashe ajibu mashambulizi ya Nape Nnauye

inawezekana ni kweli maana anachoongea NAPE uwa simuelewi hata kidogo. maana kazi yake ni kuwapiga vita wenzake bila ya sababu mfano EL anakubalika na kila mtanzania lakini kwa kuwa NAPE ana mtu wake sijui atakua yule bwana wa bagamoyo au mtoto wa mkulima basi imekua shida kwa EL.
 
Amesema Nape ni wa kupuuza maana ni mnafiki. Akasema hata Nape 2005 aliahidi kuwa Kikwete akiwa Rais basi atahama nchi jambo ambalo hakutimiza na huruma ya Rais akampa Ukuu wa wilaya Masasi, Na mpaka sasa ana cheo kikubwa ndani ya CCM.

Pia akasema kuwa Nape alikuwa akihama hama kwa Tatu bora wa Urais 2005 ambaye ni Kikwete,Mwandosya na mwingine nimemsahau.

Kweli huwezi kuzuia mafuriko kwa mkono.

Huyu jamaa nape ni balaa. Kama alimkejeli hadi mkuu wa nchi kiasi hicho maana yake hana adabu kwa watu walio na umri kama baba yake. Ndo maana hamheshimu mzee EL.
 
Kada wa CCM Hussein Bashe ameshauri Nape Nnauye aachie ngazi ya Katibu wa Uenezi Taifa kwa vile anatumika kumshambulia Lowassa kwa maslahi ya mgombea mwingine ambaye amemwahidi kumuachia jimbo lake na tayari ameshakwenda kumnadi Nape kuwa ndiyo mrithi wake.

Akihojiwa redioni Bashe kasema Nape amekuwa akitumia nafasi yake nje ya utaratibu kumhujumu Lowassa mara kadhaa ili kumnufaisha mtu wake ili aweze kuteuliwa na chama kupeperusha bendera naye aweze kupata nafasi itakayo achwa wazi na huyo mtu kugombea Ubunge.

Kwa maelezo ya Bashe ni kuwa Nape amesha kosa maadili ya kuendelea kuwa mjumbe wa secretarieti ya chama ambaye alipaswa kuwa anafanya kazi zake kwa uadilifu na neutral.

Chanzo; Mahojiano redioni asubuhi hii.
Haihitaji kufanya calculations, Msomali na Joka La Mdimu haziivi (Mnakumbuka ile stori ya vipeperushi vya Dodoma?), Na MR.CCJ na Mamvi haziwaki.Joka la Mdimu na Mamvi wote wanaham ya kuishi Lithuli,hivyo Msomali anampiga vijembe Mr.CCJ kwa niaba ya Mamvi,na MR.CCJ (Kwa Mujibu wa Msomali) anampiga majembe Mamvi kwa Niaba ya Joka la Mdimu.Ajabu ni kwamba hakuna hata mmoja aloonesha ana mipango gani ya kuikwamua nchi na wananchi.Even a 1 page ya mipango yake,wahuni hupati shida kuwajua,maana hata city center wapo
 
Bro hujamuelewa Bashe! Yes kuna cheo na kuna NAPE! Ila aliyeshikilia hicho cheo cha KATIBU Mwenezi ni NAPE by now! Kosa kubwa ni kukosa sifa kuu mbili yeye kama Katibu Mwenezi wa chama

1) Impartiality
2) Leadership credibility

Ndani ya CCM watu walioanza kampeni za chinichini ni wengi, lakini NAPE yuko busy na LOWASA tu kila uchao. Makosa ya makada wengine ya kuanza kampeni mapema NAPE hayaoni! NAPE ameshindwa kuwa impartial(fair) katika kuwadhibiti makada wanakwenda kinyume na taratibu za chama.

Katika cheo cha KATIBU MWENEZI wa CHAMA, NAPE alipaswa kuwa CREDIBLE LEADER mwenye KUAMINIKA kwa makada na wanachama wote wa CCM! Sivyo alivyo! Ni dhahiri kwamba kuna makada ambao NAPE anawatumikia! Hili halihitaji maelezo ya ziada.....lipo wazi!
Mimi nimemsikia vizuri, lakini huyu dogo Bashe hana akili.
Badala ya kukishambulia chama chake anamshabulia Nape personally.
Nafikiri mtu anaweza kuwa na nafasi nzuri tu katika jamii lakini kichwani hamna kitu.
Kushindwa kupambanua tofauti ya tamko la Nape kama Katibu Mwenezi wa CCM na Nape kama mtu binafsi ni upungufu mkubwa wa akili.
 
Mimi nimemsikia vizuri, lakini huyu dogo Bashe hana akili.
Badala ya kukishambulia chama chake anamshabulia Nape personally.
Nafikiri mtu anaweza kuwa na nafasi nzuri tu katika jamii lakini kichwani hamna kitu.
Kushindwa kupambanua tofauti ya tamko la Nape kama Katibu Mwenezi wa CCM na Nape kama mtu binafsi ni upungufu mkubwa wa akili.
nyie muondoke tu hatuwaki, huyo Nape katumwa kuyasemea maazimio yapi ya CCM?ndo mana fisadi wenu anauliza kauli za Nape ni za kikao kipi cha CCM
 
Kada wa CCM Hussein Bashe ameshauri Nape Nnauye aachie ngazi ya Katibu wa Uenezi Taifa kwa vile anatumika kumshambulia Lowassa kwa maslahi ya mgombea mwingine ambaye amemwahidi kumuachia jimbo lake na tayari ameshakwenda kumnadi Nape kuwa ndiyo mrithi wake.

Akihojiwa redioni Bashe kasema Nape amekuwa akitumia nafasi yake nje ya utaratibu kumhujumu Lowassa mara kadhaa ili kumnufaisha mtu wake ili aweze kuteuliwa na chama kupeperusha bendera naye aweze kupata nafasi itakayo achwa wazi na huyo mtu kugombea Ubunge.

Kwa maelezo ya Bashe ni kuwa Nape amesha kosa maadili ya kuendelea kuwa mjumbe wa secretarieti ya chama ambaye alipaswa kuwa anafanya kazi zake kwa uadilifu na neutral.

Chanzo; Mahojiano redioni asubuhi hii.

CC: MwanaDiwani TandaleOne
 
Last edited by a moderator:
Kada wa CCM Hussein Bashe ameshauri Nape Nnauye aachie ngazi ya Katibu wa Uenezi Taifa kwa vile anatumika kumshambulia Lowassa kwa maslahi ya mgombea mwingine ambaye amemwahidi kumuachia jimbo lake na tayari ameshakwenda kumnadi Nape kuwa ndiyo mrithi wake.

Akihojiwa redioni Bashe kasema Nape amekuwa akitumia nafasi yake nje ya utaratibu kumhujumu Lowassa mara kadhaa ili kumnufaisha mtu wake ili aweze kuteuliwa na chama kupeperusha bendera naye aweze kupata nafasi itakayo achwa wazi na huyo mtu kugombea Ubunge.

Kwa maelezo ya Bashe ni kuwa Nape amesha kosa maadili ya kuendelea kuwa mjumbe wa secretarieti ya chama ambaye alipaswa kuwa anafanya kazi zake kwa uadilifu na neutral.

Chanzo; Mahojiano redioni asubuhi hii.

Nape afukuzwe tu aende akaimalishe ccj yake na sita
 
Amesema Nape ni wa kupuuza maana ni mnafiki. Akasema hata Nape 2005 aliahidi kuwa Kikwete akiwa Rais basi atahama nchi jambo ambalo hakutimiza na huruma ya Rais akampa Ukuu wa wilaya Masasi, Na mpaka sasa ana cheo kikubwa ndani ya CCM.

Pia akasema kuwa Nape alikuwa akihama hama kwa Tatu bora wa Urais 2005 ambaye ni Kikwete,Mwandosya na mwingine nimemsahau.

Kweli huwezi kuzuia mafuriko kwa mkono.

Haiwezekani
 
Nakili kua kweli naitumia ila mm hainifanyi kua chizi wa kutoa kauli tata kila mwaka tena bila uoga Nape sio mzima kama alimkana hadi mkuu wa kaya ww unategemea nn alisema ataama nchi jamaa kachukua na cheo kampa ila kama endapo mamvi atachukua basi hapo atahama kweli Mungu tupe afya njema na aman ili miezi hiyo,ijayo hadi October tuyaone mengi amen
 
Mimi nimemsikia vizuri, lakini huyu dogo Bashe hana akili.
Badala ya kukishambulia chama chake anamshabulia Nape personally.
Nafikiri mtu anaweza kuwa na nafasi nzuri tu katika jamii lakini kichwani hamna kitu.
Kushindwa kupambanua tofauti ya tamko la Nape kama Katibu Mwenezi wa CCM na Nape kama mtu binafsi ni upungufu mkubwa wa akili.

Ndg Yangu huko Sahihi 100%, Lakini Unasahau ya kwamba Bashe Hawezi Kukisema Vibaya Chama ambacho Mgombea wake Edward Lowassa anategemea Kupeperusha bendera.

Kumshambulia Nape Itaonyesha Kuwa Kumbe Yaliyosemwa na Nape ni Personnal na Sio Msimamo wa Chama. Bashe anajaribu Kuneutralize Na Kutoonyesha Madhaifu Yaliyopa CCM.

Kimsingi Kwa sasa Ndani ya CCM wanachezeana Rafu za waziwazi wala Hakuna lolote wala Chochote Kuhusu Lowassa eti amekiuka Taratibu za Chama.
 
Bashe hana jipya zaid ya kusimamia tumbo lake. Mgombea wanae mpigania alishakosa sifa za urais siku nyingi.

Unaweza kunitajia nani mwenye sifa ndani ya ccm!? Maana kinachotokea huko ni nani kamzidi nani kwenye kupiga; Lowasa alipiga Richmond lakini wengine wamepiga Escrow.
 
Back
Top Bottom