Recent content by mwaibile

  1. mwaibile

    JamiiForums Tanzania Apartment inapangishwa mikocheni Palm Village

    Kwaiyo dalali unavuta 1500$ ya mwezi mmoja
  2. mwaibile

    JamiiForums Tanzania Urafiki wa Jinsia Tofauti

    Hii imenigusa nimejikuta nalengwa na machozi rip daudi
  3. mwaibile

    JamiiForums Tanzania Wadau, ni kiwanja gani kizuri Dar kwa sasa? 🍻🎶

    Hamna ipo town mbona hapo magomeni police usalama kwa nyuma yake hakuna vibaka ila waliojaa hapo ndo hao sasa maafande wa police magomeni ndo wanamichezo iyo
  4. mwaibile

    JamiiForums Tanzania Wadau, ni kiwanja gani kizuri Dar kwa sasa? 🍻🎶

    Chimbo langu ili kila wikiend napiga zangu vyombo nakamata highway hadi mjengoni kimara safi kabisa kupo poa sana sema kuna maskali njaa wengi sana usijichanganye ukapata demu hapo uwo ni mtego demu wa afande unafatiliwa nyuma unapigwa ambushi la fumanizi kutembea na mke wa mtu unapukutishwa
  5. mwaibile

    JamiiForums Tanzania Wadau, ni kiwanja gani kizuri Dar kwa sasa? 🍻🎶

    😂😂😂 Tena local beer 8k
  6. mwaibile

    JamiiForums Tanzania Wadau, ni kiwanja gani kizuri Dar kwa sasa? 🍻🎶

    Bora utulie geto starehe inataka pesa
  7. mwaibile

    JamiiForums Tanzania Mpenzi kwaheri - Jay Moe

    Ungekuwa unaweka na audio ya nyimbo ingekuwaga safi sana
  8. mwaibile

    JamiiForums Tanzania Dawa ya Ozempic ya kupunguza uzito imetufikia bongo?

    Bei ikoje
  9. mwaibile

    JamiiForums Tanzania Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Lig zimeanza vibaya
  10. mwaibile

    JamiiForums Tanzania Malisa: Wakili Madeleka amekamatwa na watu waliojitambulisha ni polisi

    Tanzania nchi yangu ila tulipo fikia pabaya sana
  11. mwaibile

    JamiiForums Tanzania Ni umri gani ukifika unatakiwa kuanza kuwa makini kuchagua vyakula na vinywaji

    Yaa iyo msesewe kwenye mbege ndo inakuwaje
  12. mwaibile

    JamiiForums Tanzania Malisa: Wakili Madeleka amekamatwa na watu waliojitambulisha ni polisi

    Dah
  13. mwaibile

    JamiiForums Tanzania Ni umri gani ukifika unatakiwa kuanza kuwa makini kuchagua vyakula na vinywaji

    Naendaga kunywaga mbege pale tegeta club ya kb oposite na tegeta complex mbege yao iko poa sana itakuja kwenye madumu kutokea Kilimanjaro kabisa
  14. mwaibile

    JamiiForums Tanzania Ni umri gani ukifika unatakiwa kuanza kuwa makini kuchagua vyakula na vinywaji

    Msewe ndo nini
  15. mwaibile

    JamiiForums Tanzania Wanaume acheni kuvaa suruali za kubana!

    Minakelekwa ma wanaovaa surual za kuchanika kuonesha mapaja tena mwanaume
Back
Top Bottom