Hamna ipo town mbona hapo magomeni police usalama kwa nyuma yake hakuna vibaka ila waliojaa hapo ndo hao sasa maafande wa police magomeni ndo wanamichezo iyo
Chimbo langu ili kila wikiend napiga zangu vyombo nakamata highway hadi mjengoni kimara safi kabisa kupo poa sana sema kuna maskali njaa wengi sana usijichanganye ukapata demu hapo uwo ni mtego demu wa afande unafatiliwa nyuma unapigwa ambushi la fumanizi kutembea na mke wa mtu unapukutishwa
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.