Recent content by mwaibile

  1. mwaibile

    Sasa hivi kila sekta ngumu kutoboa ilikuwa rahisi 2012 kuja 2022

    Dah umeongea point sana now inabidi kutumia ujanja sana izo tigo pesa kitaa kama zote duka za nguo kama zote ila cha muhimu kutokupanic kwa kuangalia life la mwingine pia kuangalia nnje ya box siyo mbaya yani kucheki michongo nnje ya nnchi maana hatujawekewa mipaka ya utafutaji
  2. mwaibile

    Unahitaji ushauri juu ya masuala ya ujenzi na gharama zake? Karibu tukuhudumie

    Shimo lake la maji likoje mbona kuna jamaa kachimba mashimo yasiyojaa kipindi chamvua kama ichi namsikia alalama kwamba alafu ya kinyesi yote inakuwa inaludi ndani
  3. mwaibile

    Kweli maisha ni mapambano

    Ww mtoa mada uonekana ni demu tena mpongeze maana yupo kwenye kutafuta hela je kama angekuwa mtu jobless wa kupiga vizinga daily
  4. mwaibile

    Unahitaji ushauri juu ya masuala ya ujenzi na gharama zake? Karibu tukuhudumie

    Mfumo huu kwa maji ya kuogea bafuni pekee au mpaka ya kinyesi pia
  5. mwaibile

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Wasiliana nao kwenye pesa hakuna masihala wanapenda kula wao
  6. mwaibile

    Nilifiwa na ndugu yangu lakini Ile sehemu ya kushea maiti pale mochwari palikuwa na shanga nyingi sana

    Mara nyingi ipo ivyo ww ulivyokuja duniani ulikuja na kitu kwaiyo unatakiwa kuondoka kama ulivyokuja mara nyingi kwa waislamu hadi nywele kama kasuka huwa wanamnyoa awe men au woman ila ndugu ndo husika kwa ilo
  7. mwaibile

    Special Thread: Picha za Warembo Wakali World wide. Tupia picha Only Beautiful Ladies

    Hawa wanapatikana wap hapa bongo
  8. mwaibile

    Mgahawa wangu mambo yalikuwa mazuri, ghafla imedoda, nifanye nini biashara irejee kwenye mstari?

    S Shida ukiweka akili kwenye kulogwa basi uwezi piga hatua iv unajua zile kama ilizi zinazofungwa watoto wakiwa wadogo mle ndani wanaweka majani ya bangi nakugunga na kitaa cheusi ndo wanaita ilizi kwajili ya kuwakinga watoto sasa ww mtu kamwaga unga wa sembe hapo bas unaweweseka ila kama ni...
  9. mwaibile

    Mgahawa wangu mambo yalikuwa mazuri, ghafla imedoda, nifanye nini biashara irejee kwenye mstari?

    Hata mwezi huna unagive up unavyofunga ndo unapoteza jina na wateja kabisa bora upunguze kipimo cha chakula kama kilo kumi fanya hata 3 ila siyo kufunga kabisa biashara ni ubishi na wateja siyo mpaka waje hapo bandani force kuwafuata wateja labda kwenye maduka au kama kuna site ya gereji
  10. mwaibile

    Jipatie a 800ml french press pamoja na kahawa bure kwa 89,000Tsh tu.

    Iyo jagi ndo ya kusagia kahawa
Back
Top Bottom