Dah umeongea point sana now inabidi kutumia ujanja sana izo tigo pesa kitaa kama zote duka za nguo kama zote ila cha muhimu kutokupanic kwa kuangalia life la mwingine pia kuangalia nnje ya box siyo mbaya yani kucheki michongo nnje ya nnchi maana hatujawekewa mipaka ya utafutaji
Shimo lake la maji likoje mbona kuna jamaa kachimba mashimo yasiyojaa kipindi chamvua kama ichi namsikia alalama kwamba alafu ya kinyesi yote inakuwa inaludi ndani
Mara nyingi ipo ivyo ww ulivyokuja duniani ulikuja na kitu kwaiyo unatakiwa kuondoka kama ulivyokuja mara nyingi kwa waislamu hadi nywele kama kasuka huwa wanamnyoa awe men au woman ila ndugu ndo husika kwa ilo
S
Shida ukiweka akili kwenye kulogwa basi uwezi piga hatua iv unajua zile kama ilizi zinazofungwa watoto wakiwa wadogo mle ndani wanaweka majani ya bangi nakugunga na kitaa cheusi ndo wanaita ilizi kwajili ya kuwakinga watoto sasa ww mtu kamwaga unga wa sembe hapo bas unaweweseka ila kama ni...
Hata mwezi huna unagive up unavyofunga ndo unapoteza jina na wateja kabisa bora upunguze kipimo cha chakula kama kilo kumi fanya hata 3 ila siyo kufunga kabisa biashara ni ubishi na wateja siyo mpaka waje hapo bandani force kuwafuata wateja labda kwenye maduka au kama kuna site ya gereji
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.