Me pia naomba msaada wa kusafirisha Mzigo (academic materials) toka Arusha -shinyanga.Ni vichache tu.Nimeogopa safirisha Kwa bus vinaweza potea,ni bora viende na mtu.
Jamiiforum ni ya wanandugu
Poleni kwa majukumu ndugu zangu.Mtoto anaumwa matezi muda wote.Pamoja na kuhangaika Sana ktk kutafuta matibabu lakini bado.At the same time ana tatizo la kifua(pumu) ambayo Baba yake anayo pia.Sasa je kuna namna ya kuyamaliza haya maswahibu yanayomtesa huyu malaika?
Msaada wenu please.
Asanteni...
Ipo hivi;
Rafiki yng alikamatwa na kukaa mahabusu Kwa miaka 14 Kwa kesi ya kusingiziwa.Ametoka amefungua kesi ya fidia na anadai ameshinda malipo yake ni million 140.
Sasa utata ni kwenye utekelezaji wa malipo hayo yanayotakiwa lipwa na kampuni.ANAZUNGUSHWA,na nachokiona ni kwamba amekosa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.