Tanzanite7
Member
- Dec 8, 2020
- 39
- 58
Nawasalimu kwa jina la Jamhuri ya Muungano
Ni miaka saba kama si sita iliyopita, nilipingwa na kitu kizito utosini kinacho itwa mapenzi, kwa mtu nilie mpenda sana zaidi ya sana
Nilijua ndio chaguo sahihi maishani kumbe nilikuwa naihadaa nafsi yangu,kila nikikumbuka machozi yananitoka kila nikimfiria moyo wangu hushtuka
Kusamahe nilimsamehe japo kumbukumbu ya yalio tokea bado inajirudia mara kwa mara,sisemi sitasahau ila huwenda ikanichukua mda mrefu kunitoka
Moyo wangu kuvujika umevujika sana,moyo wangu kudhoofika umedhoofika sana,moyo wangu una makovu,maumivu na majeraha
Najutia kwanini nilitakata kuufamhamu ukweli,ni bora kutokujua ukweli ukaishi kwa kuhisi,si wakwanza mimi katika hili huwenda wakawepo,kila mmoja na kiwango chake cha kukabiliana na jambo
Namahukuru sana Mungu Mumba Mbingu na Nchi yeye anajua kwanini aliruhusu hili litokee maisha, wanaume tumekuwa tukipiatia changamoto nyingi sana za kuhuzunisha kwenye mahusiano
Ni miaka saba kama si sita iliyopita, nilipingwa na kitu kizito utosini kinacho itwa mapenzi, kwa mtu nilie mpenda sana zaidi ya sana
Nilijua ndio chaguo sahihi maishani kumbe nilikuwa naihadaa nafsi yangu,kila nikikumbuka machozi yananitoka kila nikimfiria moyo wangu hushtuka
Kusamahe nilimsamehe japo kumbukumbu ya yalio tokea bado inajirudia mara kwa mara,sisemi sitasahau ila huwenda ikanichukua mda mrefu kunitoka
Moyo wangu kuvujika umevujika sana,moyo wangu kudhoofika umedhoofika sana,moyo wangu una makovu,maumivu na majeraha
Najutia kwanini nilitakata kuufamhamu ukweli,ni bora kutokujua ukweli ukaishi kwa kuhisi,si wakwanza mimi katika hili huwenda wakawepo,kila mmoja na kiwango chake cha kukabiliana na jambo
Namahukuru sana Mungu Mumba Mbingu na Nchi yeye anajua kwanini aliruhusu hili litokee maisha, wanaume tumekuwa tukipiatia changamoto nyingi sana za kuhuzunisha kwenye mahusiano