Kwan unaendalin mkuu nkupe liftWakuu nauliza bus luxury toka Arusha kwenda mbeya.Bila sahau huduma ya charging system please.
Asanteni
Shabiby Line ina hali nzuri.
Wakuu nauliza bus luxury toka Arusha kwenda mbeya.Bila sahau huduma ya charging system please.
Asanteni
Asante.Sijui kwanini hakuna gari ya kueleweka nzuri hii route? Wakati ni miji mikubwa sn.Hiyo ruti Gari ya uhakika ni Arusha express tu,ya zamanii Scania ina sura inatia huruma ila ndo chombo cha uhakika na kuwahi
*Kulikua na Gracious sijui imeishia wapi
*Luxury class subiri mwaka 2025 labda
Shabiby yupo saa moja na nusu from Moshi to Mbeya asbh kila siku nmeipanda last year.Imeanza hivi karibuni? Ninachofahamu Shabiby anaanzia Dodoma pamoja na wenzake akina Kimbinyiko. Arusha Mbeya ninaowatambua mpaka sasa ni Arusha Express tu! Marcopolo bus, namba T..... AAA.
Sijawahi ona hiyo gari labda kama lina njia yake, kuna New force kama hawajastopisha safari zao, kuna mbeya express hili ni skania. Huku wakiweka luxury na umbali huu zi mtaziua, angalia gari za mwanza mbeya kama kuna luxury lazima uangalie na root hizi, milima + kilomita kedekedeShabiby yupo saa moja na nusu from Moshi to Mbeya asbh kila siku nmeipanda last year.
Kwakweli Magari mengi ya Mbeya ni scania za zamani kama HAJEES.Sijawahi ona hiyo gari labda kama lina njia yake, kuna New force kama hawajastopisha safari zao, kuna mbeya express hili ni skania. Huku wakiweka luxury na umbali huu zi mtaziua, angalia gari za mwanza mbeya kama kuna luxury lazima uangalie na root hizi, milima + kilomita kedekede
Azam Marine LinkWakuu nauliza bus luxury toka Arusha kwenda Mbeya.
Bila sahau huduma ya charging system please.
Asanteni
Hiyo ruti Gari ya uhakika ni Arusha express tu,ya zamanii Scania ina sura inatia huruma ila ndo chombo cha uhakika na kuwahi
*Kulikua na Gracious sijui imeishia wapi
*Luxury class subiri mwaka 2025 labda
Dar rux wanapiga dar bukoba na higer, very luxuriousHuwezi kuta luxury ya masafa marefu.
Dar Bukoba,Arusha Mby,Mz Mby.
Zaidi sana utakuta kuna kunguni.
Sijawahi ona hiyo gari labda kama lina njia yake, kuna New force kama hawajastopisha safari zao, kuna mbeya express hili ni skania. Huku wakiweka luxury na umbali huu zi mtaziua, angalia gari za mwanza mbeya kama kuna luxury lazima uangalie na root hizi, milima + kilomita kedekede
Nimezoea natoka zangu moshi to dar dhen mbeya kwann ujipe tabuUko sahihi. Sumry, Mbeya express na New force; wote walichemka kitambo.
Kwa sasa route zote zinamilikiwa na Scania Marcopolo za Hood na Arusha express! Na zote zina usajili wa A! Wengi huwa tunapanda basi za kuunga unga. Maana gari zote hizo hazina comfortabilty ya aina yoyote ile kwa kweli.
Wakuu nauliza bus luxury toka Arusha kwenda Mbeya.
Bila sahau huduma ya charging system please.
Asanteni
Ni miaka michache tu imepita, Hii route ilikuwa na Mbeya Express, ilikuwepo New Force, sasa leo kusikia Arusha express peke yake sielewi elewi hapo.Hiyo ruti Gari ya uhakika ni Arusha express tu,ya zamanii Scania ina sura inatia huruma ila ndo chombo cha uhakika na kuwahi
*Kulikua na Gracious sijui imeishia wapi
*Luxury class subiri mwaka 2025 labda
Nilipanda hii Zeeland mwezi uliopita kutoka Moshi kwenda kuzika mby, ikalala makambako nikachukua IT nikaamsha sa 11 Alfajiri nipo mby.Hizi gari za route ndefu zinakimbia sanaa aisee... Yani ni kama wana ruhusa ya pekee kukimbia. Askari wa usalama huingia tu na kusalimia ..' jamani za safari'!? Wanatoka zao...
Nilipanda ZEELAND juzi kati hapa toka Mbeya...linachochora mpaka Arusha wanalala Moshi.. Aisee kama una roho nyepesi unaahirisha safari...
Speed ni kali mnoo. Siwashauri muunge safari ndefu namna hii ni hatari sana..