Nakubaliana kuwa World Vision Tanzania iko corrupt kwa sasa, ila hili unaloliongelea hapa linawekwa wazi kwenye Sponsorship Philosophy yao. Watoto wanafadhiliwa lakini benefits ni kwa community yote sio individual child.
Tatizo kubwa ni pale walipobadili kutoka kusupport infrastructure za...
Hapa anaongelewa mwalimu mke sio mwalimu aliye single. Wewe kama mume unakuwa wapi mpaka mkeo anaishiwa kufikia tarehe 15? Na kama ni suala ni kumegewa, sio walimu tu, wanaume wengi wanamegewa hata kama wake zao wana kazi zenye kulipa vizuri. I think point ya msingi hapa ni kuwa walimu wengi...
Hahaha. Huyu bwana Jafo ni Mbunge wa Kisarawe aende shule ya Msingi Chang'ombe (sio pekee yenye mapungufu makubwa ila ni mfano tu) huko Kisarawe akaone na matatizo ya kwake sio kuleta unafiki hapa.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.