Sijawahi kusoma huko ila nackiaga tu....huku chuoni kwetu hata wakija na bikini cyo tatizoTeh teh..dressing code haimfanyi mtu akawa mzembe kwenye fashion. Labda huko kwenu tu,af naskiaga wanaingia class na kanga za kiuno. Wameacha?
nurse sio watuKati ya mwalimu wa kike na Nurse wa kike yupi afadhali kidogo kumuoa
Kwann mkuu nataka kuoa Nurse,,nahis afya ya My family itakuwa na uangaliznurse sio watu
Huku sisi tunaita walimu ni maharage ya mbeya maji Mara moja. Kati ya wafanyakazi Malaya na wepesi wakugawa k ni waalimu wa tanzania
Tuulize sisi tunaosoma na hawa mabinti(waalimu tarajali)
1.wengi wao wana poor financial background hivyo ni rahisi kulaghaiwa hasa akikutana na mwanaume materialist.
2.hawako updated na fashion kama mavazi,na kutengeneza mionekano Yao hivyo wanakuwa mizigo kutoka nao
3.ukiwa na kazi ya kukukeep busy utamegewa sana sana sababu wapo free
4.jiandae kujenga ukweni ulimuona
5.jiandae kuwa na extended type of family
Nimependa msamiati tu (tarajali)Tuulize sisi tunaosoma na hawa mabinti(waalimu tarajali)
1.wengi wao wana poor financial background hivyo ni rahisi kulaghaiwa hasa akikutana na mwanaume materialist.
2.hawako updated na fashion kama mavazi,na kutengeneza mionekano Yao hivyo wanakuwa mizigo kutoka nao
3.ukiwa na kazi ya kukukeep busy utamegewa sana sana sababu wapo free
4.jiandae kujenga ukweni ulimuona
5.jiandae kuwa na extended type of family
Usithubutu....Basi sawa..Ngoja na mi nimpeleke wife akapige kozi
Lazima mseme hivyo,coz walimu ni kundi kubwa sana.huo umalaya hata ww unao so acha kuchafua watuHuku sisi tunaita walimu ni maharage ya mbeya maji Mara moja. Kati ya wafanyakazi Malaya na wepesi wakugawa k ni waalimu wa tanzania
Teh teh..Mpendwa kumbe ulitoka nduki..Basi nimeghairi aiseeUsithubutu....
Kwa sie tulioishi huko kwenye vyuo vyao angalau miezi 2-3 (kabla ya kukimbia) hatushauri.... hawana tofauti na mabinti wa vyuo vingine vyovyote
Tubu kweli mtu aliyekufundisha mpaka ukajua kuandika na kusoma na kuesabu ndio unamchafua hivyo.Huku sisi tunaita walimu ni maharage ya mbeya maji Mara moja. Kati ya wafanyakazi Malaya na wepesi wakugawa k ni waalimu wa tanzania
Erica mwaisumo haya ninayoongea sio kwamba naongea kwa mtu mmoja, ila waalimu asilimia kubwa ni rahisi sana, kufikia tar 15 mwlm hoi, haoo hata hela ya nauli ya kuendea kazin inasumbua hapo ndipo wanatafunwa vibaya sana, japo sio wote, kuna waalimu humu ni majembe mno. Ila wengi wapo hoi.
Umeniwah kumpa jibu.. asante sana...!Kama wewe ulimgonga Mwl basi sio wote wanaofanya hivyo