Recent content by mwachisabwe kibona

  1. mwachisabwe kibona

    WALIMU: Kwa wale wanaotaka kubadilishana vituo vya kazi

    Mwalimu yeyote idara sekondar aliyeko morogoro municipal au mvomero na yko tayari kuja mwanga kisangara tutafutane
  2. mwachisabwe kibona

    Kuna nchi zina Jeuri, Waafrika hatuwezi hili la Tunisia!

    Hongera zao tunisia kw kuthubutu kupigana na ukoloni mambo leo
  3. mwachisabwe kibona

    WALIMU: Kwa wale wanaotaka kubadilishana vituo vya kazi

    Kwa yeyote aliye morogoro mjini idara sek na yuko tayar kumamia mwanga-kisangara nitafute
  4. mwachisabwe kibona

    Majanga: Tanzania yaburuzwa Mahakama ya Usuluhishi kwa kuvunja Mkataba wa Mradi uliokuwa ufanyike Bagamoyo

    Naamini wanasheria wetu watakuwa wameangalia faida na hasara za mradi huo na kuona faida in chache
  5. mwachisabwe kibona

    Harusi yangu imeenda vyema leo!

    Mmmh unbalanced
  6. mwachisabwe kibona

    Taja jina la mtu ambaye michango yake humu huwa inakuboa

    Nini hatima yake baada ya kujua acha mambo ya ajabu jf inawakutanisha watu wa viwango mbalimbali na mitazamo mbali ukitaka hili lako liwe fair kuna ulazima wa kuset vigezo vya kujiunga jf
  7. mwachisabwe kibona

    Bainisha dhima za mofimu "li''katika neno Limeshikilia na

    Li ya baada ya mzizi wa neno INA dhima gani
  8. mwachisabwe kibona

    Nashauri Mrisho Gambo agombee ubunge 2020 Arusha mjini

    Tunahitaji kiongozi atakaye tutoa toka hatuamoja. Mpaka nyingine kimaendeleo na sio chama watanzania tubadilike tumpime mtu kwa matendo yke na si kwa uanachama wake
  9. mwachisabwe kibona

    Bainisha dhima za mofimu "li''katika neno Limeshikilia na

    Pole kwa majukumu ya kutwa nzima jamani samahani naomba ufafanuzi kupata dhima ya mofimu 'li'katika neno limeshikilia Kwa sababu kuna mdahalo hapa kuna watu wanasema kama mzizi wa neno' shik ' ni vipi. Li- idokeze kauli ya kutendea badala ya i - yaani shikia Naomba msaada tafadhari
  10. mwachisabwe kibona

    Naomba msaada, kanusha sentensi hii "ameshiba sana"

    Asante kwa kunielewesha mkuu[emoji12] [emoji12]
  11. mwachisabwe kibona

    Naomba msaada, kanusha sentensi hii "ameshiba sana"

    Naomba msaada jaman kuna watu tunabishana nao hapa wengine wanadai ''hakushiba sana''kwa madai Kwamba sarufi ya kiswahili haina dhima ya ''Ja'' Na wengine wanadai 'hajashiba sana' lakini wanashidwa kutoa dhima ya 'ja' na 'ku' inaonesha wakati uliopita Kwa wanaounga hajashiba sna
Back
Top Bottom