Nashauri Mrisho Gambo agombee ubunge 2020 Arusha mjini

Nashauri Mrisho Gambo agombee ubunge 2020 Arusha mjini

Tusiongelee ushahabiki wa vyama tuongelee uwalisia kiukwel lema hacpoangalia ccm watampokonya jimbo kwa ss ccm co ya zaman wanaangalia ngome za chadema wanapeleka watu tena wazawa wa humo hyo gambo karetwa kwa kusudi maalumu wakitoka hapo mbeya kwa sugu subir haina haja ya kutukanana muda utanene
 
Tusiongelee ushahabiki wa vyama tuongelee uwalisia kiukwel lema hacpoangalia ccm watampokonya jimbo kwa ss ccm co ya zaman wanaangalia ngome za chadema wanapeleka watu tena wazawa wa humo hyo gambo karetwa kwa kusudi maalumu wakitoka hapo mbeya kwa sugu subir haina haja ya kutukanana muda utanene
Hizo nyimbo hamkuanza leo na hukuanza wewe, wameanza wengi na kipindi kirefu kubwabwaja hayo maneno lkn Arusha ni Lema tuuuuuu
 
Hujawahi kuwa na akili nzuri maana ukimsikia mtu anaongelea ukabila juwa tu ana tatizo la akili
 
Tusiongelee ushahabiki wa vyama tuongelee uwalisia kiukwel lema hacpoangalia ccm watampokonya jimbo kwa ss ccm co ya zaman wanaangalia ngome za chadema wanapeleka watu tena wazawa wa humo hyo gambo karetwa kwa kusudi maalumu wakitoka hapo mbeya kwa sugu subir haina haja ya kutukanana muda utanene
Mbeya msahau na kwa taarifa yako na mwanza cdm inarudisha majimbo yake ccm sasa hivi ipo icu na mnaiua nyinyi wenyewe msitafute mchawi
 
Mkuu wa Mkoa ni mhimili tu wa halmashauri na hana maamuzi kuhusu mapato na matumizi ya pesa. Hiyo mipango ni lazima ijadiliwe na Baraza la madiwani kama itahusu pesa za halmashauri. Kwa hiyo hakuna haja ya kushindana na no madiwani. Aige mfano wa Prof Muhongo aliyewagawia vitabu vya shule wabunge wote mkoani Mara bila ubaguzi. Ubunge Arusha kurudi ccm ni ndoto kama ni kwa gia ya kutumia nguvu ya dola.
 
Gambo anapenda Uongozi ila bahati mbaya uongozi haumpendi hadi kakimbia fani yake..Arusha kurudi ccm ni sawa na PoPo kuanza kutaga
 
Tunahitaji kiongozi atakaye tutoa toka hatuamoja. Mpaka nyingine kimaendeleo na sio chama watanzania tubadilike tumpime mtu kwa matendo yke na si kwa uanachama wake
 
Yaani sawasawa mabondia wanapigana ulingoni mmoja amefungwa kamba, LEMA akisema kitu kesho mahakamni, Mikutano kazuiliwa atakutana nao wapi, hats hivyo bado no ndoto
 
Nikariri nini wewe wakati mambo yako wazi? Ccm Arusha imebakia na bendera tu
uonaonekana umeingia kwenye siasa juzi

hata mwanza walikuwa wanasema hivyo hivyo

hata msoma mjini pia maeneo ni meengi sana
 
Back
Top Bottom