Recent content by Mvinyo mpya

  1. Mvinyo mpya

    JamiiForums Tanzania Nimefanikiwa kuunda Bot wa Aviator, Nahitaji Logic

    Ev ni nini?
  2. Mvinyo mpya

    JamiiForums Tanzania Nimefanikiwa kuunda Bot wa Aviator, Nahitaji Logic

    House always win! Ukipata elf 30 yako sepa rudi kesho. House edge
  3. Mvinyo mpya

    JamiiForums Tanzania Bikira Maria mama wa Yesu Alikufa ?

    Hajafa yupo hapo Egypt
  4. Mvinyo mpya

    JamiiForums Tanzania Trump mikwara mingi, kumbe muoga hivi?

    Hahaha, sawa
  5. Mvinyo mpya

    JamiiForums Tanzania Leo hii ukiwa haupo duniani, unahisi ni nani atateseka kwa kutokuwepo kwako?

    Hapa tuzungumzie watoto wadogo ambao tumewaleta duniani, wakiwa wakubwa Sasa ni uamuzi wao wafanye wanavyotaka
  6. Mvinyo mpya

    JamiiForums Tanzania Trump mikwara mingi, kumbe muoga hivi?

    Kajichanganye! Trump anavyowindwa kama sio uimara wa Secret service angeshaenda kitambo
  7. Mvinyo mpya

    JamiiForums Tanzania Leo hii ukiwa haupo duniani, unahisi ni nani atateseka kwa kutokuwepo kwako?

    Utaachaje kujipa umuhimu kwa watu "wasiojielewa" kama watoto
  8. Mvinyo mpya

    JamiiForums Tanzania Leo hii ukiwa haupo duniani, unahisi ni nani atateseka kwa kutokuwepo kwako?

    Mambo ya kikuda kufanikiwa kidogo tu wanaanza visa. Ndugu wanataka usiteseke lakini usiwapite! Nimeanza kupata mafanikio madogo madogo aise ni vita!
  9. Mvinyo mpya

    JamiiForums Tanzania Leo hii ukiwa haupo duniani, unahisi ni nani atateseka kwa kutokuwepo kwako?

    Ndugu wateseke vizuri Worry for my own family
  10. Mvinyo mpya

    JamiiForums Tanzania Trump mikwara mingi, kumbe muoga hivi?

    Huwezi kuwa na details kuliko secret service, funga bakuli jomba
  11. Mvinyo mpya

    JamiiForums Tanzania Joseph Katooki, mkazi wa Kyela Mbeya. Amekamatwa na kupewa kesi ya ugaidi

    Clip inasemaje? Hivi kweli serikali hii haitaki watu watoe mawazo kinzani, tutajua jamii ya ajabu in 10 years to come
  12. Mvinyo mpya

    JamiiForums Tanzania Mawakili zaidi ya 390 wa Tanzania Bara Hatarini Kupoteza Uwakili wao

    Haipo darasani tu. Hizo exception ni very discriminatory. Kama issue ni uzoefu law school ifutwe watu wafanye wote watumie hizo njia nyingine. Sio kuweka exception kwa ajili ya vilaza fulani
  13. Mvinyo mpya

    JamiiForums Tanzania Mawakili zaidi ya 390 wa Tanzania Bara Hatarini Kupoteza Uwakili wao

    TZ hiyo exception itatumika kama loophole ya kuwapa uwakili watu wajinga kama Katambi. Naungana na Denis wakasome.
  14. Mvinyo mpya

    JamiiForums Tanzania Makabila ambayo bora uwe single

    Sijui kuhusu uchawi wa wachaga ! Ila najua mijamaa kwenye pesa hawataki mchezo hata magendo wanapiga! Halafu ukimuona kama hana kitu na RAV4 yake old model, kumbe benki kibunda kipo
  15. Mvinyo mpya

    JamiiForums Tanzania Trump mikwara mingi, kumbe muoga hivi?

    Sasa angeondokaje? Kama kulikua na threat mbinu yeyote poa tu. Aache kuogopa halafu atunguliwe?
Back
Top Bottom