Recent content by Mvinyo mpya

  1. Mvinyo mpya

    JamiiForums Tanzania Mshahara wa Januari vipi mbona unachelewa?

    Ukiwa nayo kushika ni free?
  2. Mvinyo mpya

    JamiiForums Tanzania Mshahara wa Januari vipi mbona unachelewa?

    Tena azania riba yao ipo chini . Crdb 17 , azania 15
  3. Mvinyo mpya

    JamiiForums Tanzania Mshahara wa Januari vipi mbona unachelewa?

    Nilitemana nao nikaenda kuvuta mpunga AZANIA. Siku hizi sio lazima ukope unapopokelea salary. Na AZANIA hawakuuliza about CRB
  4. Mvinyo mpya

    JamiiForums Tanzania Mshahara wa Januari vipi mbona unachelewa?

    Mbona tangu Jana, poleni ambao bado,
  5. Mvinyo mpya

    JamiiForums Tanzania Nimeenda kukodi ambulance nikaambiwa hakuna utaratibu huo

    Hata Mimi nimewaza hivyo. Pia hawataki kujicomit maana siku ya tukio wanaweza wasiwe around kama ni co. Yenye magari machache
  6. Mvinyo mpya

    JamiiForums Tanzania Kuwasha subwoofer kwa sauti kubwa sio dalili za umasikini?

    So kwanini manufacturer wameweka hiyo sauti? Kwa ajili ya masikini?
  7. Mvinyo mpya

    JamiiForums Tanzania Mshahara wa Januari vipi mbona unachelewa?

    Ni Ni simu utaacha
  8. Mvinyo mpya

    JamiiForums Tanzania Mshahara wa Januari vipi mbona unachelewa?

    Habari ndo hiyo hapa nipo ya nne. Mpaka nifike lite 12 mambo tayari nalipa nasepa.
  9. Mvinyo mpya

    JamiiForums Tanzania Mshahara wa Januari vipi mbona unachelewa?

    Hamna kitu nipo zangu kijiwe na castle lite kazini nimetoka saa sita
  10. Mvinyo mpya

    JamiiForums Tanzania Mafwele azuiwa kuingia Marekani. Ahusishwa na Utekaji, ukiukwaji wa haki za binadamu

    Nionavyo Mimi serikali ya TZ ni kama haijali chochote, fikiria kuhusu mambo ya utekaji, sioni wakichukua hatia, utaambiwa tunafuatilia halafu kimya, mfano suala la Kibao, just kimya
  11. Mvinyo mpya

    JamiiForums Tanzania Nimeenda kukodi ambulance nikaambiwa hakuna utaratibu huo

    Ambulance mbona zinafuata watu nyumbani. Ps. Hiyo ya kuandaa ambulance kwa uzazi nalo ni jipya! Andaa tu gari dalili zikianza tu mnaenda. Bila shaka ni uzao wenu wa kwanza!
  12. Mvinyo mpya

    JamiiForums Tanzania Mafwele azuiwa kuingia Marekani. Ahusishwa na Utekaji, ukiukwaji wa haki za binadamu

    TZ mambo ni mabaya, ila tusitegemee US itasaidia chochote
  13. Mvinyo mpya

    JamiiForums Tanzania Mshahara wa Januari vipi mbona unachelewa?

    Si tarehe bado mzee, Huwa ni 22/23
  14. Mvinyo mpya

    JamiiForums Tanzania Mshahara wa Januari vipi mbona unachelewa?

    Hakuna mzee, Leo ijumaa uhakika hatufiki usiku
Back
Top Bottom