Wanaiba hao ni vibaka. Unga ni tatizo kwenye jamii yeyote ndo maana unapigwa vita! Kila mtu akivuta unga kwa starehe zake itakua nchi hiyo? Saa nne asubuhi Kila mtu kashasinzia
Mwoga! Yaani mtu aombe kura kwa wananchi halafu anachomokea kupitia Instagram, hata kuongea kidogo hamna. Lazima ametishwa voice from outside imeniambia
Acha character assassin's. Gwaji kaongea pointi. Na usidhani suala la Nchimbi litaisha kienjeji tu. Hiyo comeback yake Lumumba itajikuta jagwani karibu na jengo la yanga
No zipo nyingi mno zingine mpaka nachati katika Hali ya ulevi ahadi kibao . Huwa natoa ahadi mpaka ya kufungulia watu duka na kwapangia chumba! Nikiamka nashangaa tu
Katambi aache kuzua taharuki kwa kuita watu hovyo hovyo! Kama mamba ana jinai utaratibu wa sheria ufuatwe.
N.b. hao mashoga wasiojulikana ni sawa akiwa nao maana hajui. Sasa mtu kama noel mpaka pochi anabeba nani anataka kumsogelea
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.