Recent content by Mvinyo mpya

  1. Mvinyo mpya

    JamiiForums Tanzania Influencer na rafiki wa Davido afariki wakati akifanyiwa upasuaji wa kuongeza ukubwa wa uume

    Kifo cha kijinga ndo hicho sasa
  2. Mvinyo mpya

    JamiiForums Tanzania Ujue msamiati "One night stand" maana yake, pamoja na sifa zake, na matukio yake

    Kudadeki hii alichomeka wapi
  3. Mvinyo mpya

    JamiiForums Tanzania Utekaji na "Majeshi" Binafsi Vikitikisa Nchi: Kwanini Waziri Katambi na Boss Wake Wanaona Dudubaya na Uchafu wa Dar Ndio Kero Kubwa?

    Wanaiba hao ni vibaka. Unga ni tatizo kwenye jamii yeyote ndo maana unapigwa vita! Kila mtu akivuta unga kwa starehe zake itakua nchi hiyo? Saa nne asubuhi Kila mtu kashasinzia
  4. Mvinyo mpya

    JamiiForums Tanzania Mkemia wa Waziri Katambi hana utaalam wa kutoa huduma ya afya ya akili kwa Mambas 24

    Anajua. Wanajitoa kufahamu kufikiri watu ni ngombe
  5. Mvinyo mpya

    JamiiForums Tanzania Utekaji na "Majeshi" Binafsi Vikitikisa Nchi: Kwanini Waziri Katambi na Boss Wake Wanaona Dudubaya na Uchafu wa Dar Ndio Kero Kubwa?

    Shida ya unga ipo mkuu. Unazalishia wahalifu mji wa Wala unga haukaliki. Huwezi kusema naachana nao. Hebu imagine Kila Kona ya mtaani Kuna Teja!
  6. Mvinyo mpya

    JamiiForums Tanzania Voices From Within: Nimeelezwa Makamu Rais Mstaafu Balozi, Dr. Emmanuel Nchimbi Yuko Salama, Hajazuiliwa, Hajashikiliwa ni Ameamua Kutulia, Kunyamaza!

    Mwoga! Yaani mtu aombe kura kwa wananchi halafu anachomokea kupitia Instagram, hata kuongea kidogo hamna. Lazima ametishwa voice from outside imeniambia
  7. Mvinyo mpya

    JamiiForums Tanzania Usikubali kufanywa mdogo na yeyote

    Leo ngoja tu nikomae
  8. Mvinyo mpya

    JamiiForums Tanzania Waziri Katambi aagiza Dudubaya akamatwe kwa kukaidi Wito wa Serikali

    Kupimwa imekuja kama namna ya kumkomoa. Anasema yeye si mamba, katufikisha hapa.....
  9. Mvinyo mpya

    JamiiForums Tanzania Usikubali kufanywa mdogo na yeyote

    Kabisa sitaki nizoeleke shida hapa koo linawasha na huwa siweki pombe nyumbani!
  10. Mvinyo mpya

    JamiiForums Tanzania Usikubali kufanywa mdogo na yeyote

    Leo sijatoka kabisa mpaka wife anaulizia kinaendelea nini maana ijumaa lazima niende kwenye live band
  11. Mvinyo mpya

    JamiiForums Tanzania Waziri Katambi aagiza Dudubaya akamatwe kwa kukaidi Wito wa Serikali

    Mkwawa tena au you mean mzumbe maana najua mkwawa hawatoi sheria. Sawa ya kukaza nimemwachia
  12. Mvinyo mpya

    JamiiForums Tanzania Usikubali kufanywa mdogo na yeyote

    Nilidhani umeandika usikubali kufanywa "ndogo"! Niliposoma second time ndo nimeona "mdogo"
  13. Mvinyo mpya

    JamiiForums Tanzania Askofu Josephat Gwajima: Mungu hachelewi kutimiza ahadi yake. Utekaji umezidi. Maisha ya watu yanaharibika. Mungu atajibu kwa upanga

    Acha character assassin's. Gwaji kaongea pointi. Na usidhani suala la Nchimbi litaisha kienjeji tu. Hiyo comeback yake Lumumba itajikuta jagwani karibu na jengo la yanga
  14. Mvinyo mpya

    JamiiForums Tanzania Kwa mabazazi tuu

    No zipo nyingi mno zingine mpaka nachati katika Hali ya ulevi ahadi kibao . Huwa natoa ahadi mpaka ya kufungulia watu duka na kwapangia chumba! Nikiamka nashangaa tu
  15. Mvinyo mpya

    JamiiForums Tanzania Dudubaya ajue Bwanaake Yesu alikaa na Mashoga na watoza ushuru. Alikuja kwaajili ya Mashoga na wenye dhambi. Aache kujifaragua. Aache kuu-promoti

    Katambi aache kuzua taharuki kwa kuita watu hovyo hovyo! Kama mamba ana jinai utaratibu wa sheria ufuatwe. N.b. hao mashoga wasiojulikana ni sawa akiwa nao maana hajui. Sasa mtu kama noel mpaka pochi anabeba nani anataka kumsogelea
Back
Top Bottom