Nionavyo Mimi serikali ya TZ ni kama haijali chochote, fikiria kuhusu mambo ya utekaji, sioni wakichukua hatia, utaambiwa tunafuatilia halafu kimya, mfano suala la Kibao, just kimya
Ambulance mbona zinafuata watu nyumbani.
Ps. Hiyo ya kuandaa ambulance kwa uzazi nalo ni jipya! Andaa tu gari dalili zikianza tu mnaenda. Bila shaka ni uzao wenu wa kwanza!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.