Recent content by mvetenam kambodia

  1. M

    JamiiForums Tanzania Taratibu za kufuata ili kumiliki Silaha ya Moto Tanzania

    Sifa ya kwanza upimwe akili,2 una Mali isiyo pungua m50 3:ushapata mashambulio mangapi ya kuvamiwa4: je nimlevi kupita kiasi,5: hauna tamaa ya Mali zingine tofauti na ulizo nazo maana usiitumie kujipatia Mali zingine 6: usiwe na wifu wa kimapenzi,nk
  2. M

    JamiiForums Tanzania Mbatia: Ajali ya MV NYERERE ni ya kujitakia tu

    Ni uzembe wa wahusika tena wachukuliwe hatua za kisheria kwani haya matukio hua yanajitokeza mara kwa Mara Hawajifunzi tu puuuuu.........vu
  3. M

    JamiiForums Tanzania Makosa 10 aliyotenda Mungu

    Ukitaka kujua siri ya mungu kufa na itabaki kua siri yako na mungu.
  4. M

    JamiiForums Tanzania Nchi 10 maskini zaidi duniani: Tanzania ya 9, Uganda ya 3

    ila wananchi wake ni matajiri. Sent using Jamii Forums mobile app
  5. M

    JamiiForums Tanzania Mungu hakupaswa kumuumba binadam kabla hajarekebisha makosa yaliyosababisha shetani kuasi.

    Lakini mungu si alisema kua tukavitawale viumbe vyote vinavyo onekana na visivyo onekana, kwa hiyo inatakiwa tuvitawale na kuvituma na mshetani,majini nk wanatambua kua wao wapo chini yetu na wana tutii,bali binadamu wengi wana udhaifu wa kuto jiamini na badala yake likitokea tunasingizia...
  6. M

    JamiiForums Tanzania Toyota harrie old model

    Wakuu habarini za majukumu,naombeni ushauri kwa gari tajwa hapo juu naitaji kulinunua baada ya mavuno yangu ya mwaka,vpi ulaji wa mafuta,upatikaji wa spea,servis yake ikoje,asanteni
  7. M

    JamiiForums Tanzania Kushindikana kwa maandamano ya Mange kumeacha maswali gani?

    Andamaneni kunywa sumu tuone kama serikali itaangaika, hiyo ni sawa na anaye kuhamasisha yupo peponi we muhamasishwaji upo moyoni, [emoji16][emoji16][emoji16][emoji23]
  8. M

    JamiiForums Tanzania AJALI, MOROGORO: Mwanajeshi na Mtoto wafariki baada ya Basi la Polisi kugongana na Noah iliyokuwa na Wanajeshi

    Hapo mbona inaonyesha basi lilienda upande wa Noah au macho yangu,
  9. M

    JamiiForums Tanzania Nataka kuitisha maandamano nchi nzima, kupinga mwanaume kuwa Na mwanamke mmoja

    Hahahaha mbona hata bila maandamano mbona tunavichwa ndani ya vyumba sebule na tuna vilipia kwa wakati au Labda useme tuweke wazi michepuko yetu ktk jamii
  10. M

    JamiiForums Tanzania Kero: Jirani kufungulia mziki sauti kubwa, nimfanye nini?

    Wewe Piga madebe Akija juu mwambie kua nimekumbuka ngoma za kwetu utaelwa tu. Hapo ndipo atakapo jua kisbo au city boy
  11. M

    JamiiForums Tanzania Ubora wa gari aina ya Nissani X-trail

    Dah.... Nimejifunza kitu hapa ingawa baadhi ya watu Wakisema ni mabovu sana bora hata ya IST.
  12. M

    JamiiForums Tanzania Mwanaume asiyeshiriki tendo la ndoa hatarini kupata tezi dume

    Dah afadhari tumepata kisingizio cha kitabibu,
  13. M

    JamiiForums Tanzania Nahitaji mpenzi wa kiume

    Mimi nipo nina 26 kamali je? Una gari, una nyumba, account yako haipungui 20,000,000/= ni pm
  14. M

    JamiiForums Tanzania Msaada: Gharama za nyumba ya vyumba viwili

    Unajenga ila finishing utachemka
  15. M

    JamiiForums Tanzania Rais kushindwa kutumia gari la wazi leo Dodoma ni ishara kuwa hatuko salama au ametishwa?

    Katika dunia IDARA ya uraisi ni idara nyeti kwa nchi zingine huruhusiwi hata kuijadiri kwenye mtandao ni marufuku kwa mtu yeyote huruhusiwi kujadili kwa njia yoyote ile au kukejili serikali iliyopo madarakani kwa mataifa mengine unanyongwa hadharani kwa kukusudia au kushawishi fikra za jamii kwa...
Back
Top Bottom