Mbatia: Ajali ya MV NYERERE ni ya kujitakia tu

🤦‍♂️🤦‍♂️🤦‍♂️🤦‍♂️🤦‍♂️🤦‍♂️👀
 
Wazungu wameanza kudondoka na ndege zaidi ya miaka mia iliyopita. Ila mpaka leo hawajaweza kufanya usafiri wa anga uwe accident free...
In the end of the day, hakuna anayeweza kuzuia ajali kwa asilimia mia. Tunachofanya ni kuminimize impact ya ajali na kupunguza kabisa uwezekano wa kutokea ajali.
Gentleman, you have missed a point, Mbatia hakusema kuwa hakuna kitu ajali, bali amesema ajali zinazotokea Tanzania zingeweza kuepukika kwa sababu nyingi zinatokana na makosa ya kibinadamu. Tofauti na Tanzania, ajali za ndege ni kama asilimia 4 zinasababishwa na human errors na 96% ni pure ajali
 
Wazungu wameanza kudondoka na ndege zaidi ya miaka mia iliyopita. Ila mpaka leo hawajaweza kufanya usafiri wa anga uwe accident free...
In the end of the day, hakuna anayeweza kuzuia ajali kwa asilimia mia. Tunachofanya ni kuminimize impact ya ajali na kupunguza kabisa uwezekano wa kutokea ajali.
Kukosa akili nako ni kipaji mkuu,kwani hapa tunaongelea ndege??
 
Wazungu wameanza kudondoka na ndege zaidi ya miaka mia iliyopita. Ila mpaka leo hawajaweza kufanya usafiri wa anga uwe accident free...
In the end of the day, hakuna anayeweza kuzuia ajali kwa asilimia mia. Tunachofanya ni kuminimize impact ya ajali na kupunguza kabisa uwezekano wa kutokea ajali.

Unatetea nini wewe!???

Uwezo wa kivuko hicho "inasemekana" ni abiria wasiozidi 150 na mizigo tani 25 na nagari madogo matatu....

Lakini "inasemekana", kivuko kilisheheni abiria wanaokadiriwa kuwa zaidi ya 500!!

Hivi utaachaje kusema kuwa ajali hii ni ya kujitakia?Hebu jaribu tu kufikiri jambo moja

Kwamba, zipo mamlaka halali za kiserikali zibazohusika na ukaguzi na uratibu wa safari za meli/vivuko hivi. Ilikuwaje waruhusu chombo hiki kubeba mzigo zaidi ya uwezo wake karibu mara 5? Je, huku sio ajali za kutengeneza na kujitakia kweli?

Tunakubaliana kuwa ni kweli zipo ajali ambazo ni natural, hazizuiliki lakini siyo hii ambayo kwa vipimo vyote ni ya kujitakia na kutengenezwa!!
 
Mbatia mwenyewe ugonjwa anaoumwa ni wa kujitakia angeweza kuuepuka.Sasa hivi kutwa anashinda kwenye kulazwa kwa gonjwa lake la kujitakia.Hilo gonjwa lake la kujitakia mbona haliongelei?
 
Wazungu wameanza kudondoka na ndege zaidi ya miaka mia iliyopita. Ila mpaka leo hawajaweza kufanya usafiri wa anga uwe accident free...
In the end of the day, hakuna anayeweza kuzuia ajali kwa asilimia mia. Tunachofanya ni kuminimize impact ya ajali na kupunguza kabisa uwezekano wa kutokea ajali.
Kwa hiyo unataka kusema hata kama maoni ya mbunge wa ukerewe yangefanyiwa kazi ajali hii ingetokea tu tarehe ya jana, saa, dakika na sekunde ile ile?
 
HIVI KWELI KARNE HII YA 21 HATUNA VIFAA VYENYE TAA ZA KUFANYIA UOKOZI MAJINI USIKU? Tuna hela za stupidy politics za kufanya uchaguzi kila kukicha, uchaguzi ambao ungeweza kuepukika.
 
Wazungu wameanza kudondoka na ndege zaidi ya miaka mia iliyopita. Ila mpaka leo hawajaweza kufanya usafiri wa anga uwe accident free...
In the end of the day, hakuna anayeweza kuzuia ajali kwa asilimia mia. Tunachofanya ni kuminimize impact ya ajali na kupunguza kabisa uwezekano wa kutokea ajali.
Whaaat! Kama hatuwezi kuzuia ajali kwa asilimia 100 basi tufanye uzembe tu? Unajua tangu binadamu aanze kuruka mara ya kwanza ame-improve kiasi gani kwenye mambo ya usalama wa anga? Unajua kwa siku zinaruka ndege ngapi duniani kote na ajali zinazotokea ni chache sanakulinganisha na idadi ya ndege? Unajua hili limewezekana kwa sababu ya watu wenye busara wanaojifunza kila ajali inapotekea na hawakati tamaa kama wewe kwa kusema hatuwezi kuzuia ajali? Unakuwa kama una elimu ya kuunga bwana!
 
Ni uzembe wa wahusika tena wachukuliwe hatua za kisheria kwani haya matukio hua yanajitokeza mara kwa Mara Hawajifunzi tu puuuuu.........vu
 
Nilidhani atakuwa amefafanua za kujitakia kivipi?? Na nani wa kulaumiwa sasa?? Maana inaonekana ajali inataka itumiwe na wanasiasa..kama chombo kimejaza watu kuliko kawaida analaumiwa nani?? Yapo mambo ya kuilaumubaerikali ila vitu vingine watumiaji wanahusika..mv bukoba ilijaza watu na mizigo kupita uwezo..hii nayo vivyo hivyo..
 
Wazungu wameanza kudondoka na ndege zaidi ya miaka mia iliyopita. Ila mpaka leo hawajaweza kufanya usafiri wa anga uwe accident free...
In the end of the day, hakuna anayeweza kuzuia ajali kwa asilimia mia. Tunachofanya ni kuminimize impact ya ajali na kupunguza kabisa uwezekano wa kutokea ajali.
Tuondoe traffic na humps na vidhibiti mwendo barabarani,maana ajali hazizuiliki,
Elimu yetu duh!
 
Nilidhani atakuwa amefafanua za kujitakia kivipi?? Na nani wa kulaumiwa sasa??
Ajali zote zilizotokea kwenye ziwa Victoria zinatokana na kihere here cha abiria cha kutaka kushuka kabla ya kufika bandarini hivyo ku disturb uzito wa chombo kama ilivyotokea jana na Mv Bukoba. So wa kulaumiwa ni abiria wenyewe... Wengine wanafuata.
 
Back
Top Bottom