UTT interest haikatwi kodi lakini Fixed Deposit Account interest inakatwa kodi ya 10% (Withdrawing tax).
Kama una pesa ya ziada na hauna muda wa kusimamia biashara ni uwekezaji mzuri. Kuna jamaa tulianza naye uwekezaji UTT pale tu mfuko ulipo anzishwa mwenzangu akawa anaendelea kuweka kila...
Kuna mtaalam mmoja nilimuuliza baada yakuandamwa sana na ndoto za primary na O-level wakati huko nilishatoka kitambo sana na hata vyuo pia ni long nilisha maliza. Aliniambia kuna jamaa wanapambana ili nisisonge mbele kimaisha. Nikapotezea.... ila sasa nahisi kama kuna ukweli fulani.
Hapo juu nilitoa wasi wasi wangu kuhusu sample ulio tumia kufanya utafiti wako labda ulimuangalia mtu mmoja au wawili tu.
Ngoja nikupe dondoo chache kuhusu biashara hii;
1. Pesa ulio wekeza itarudi lini? (Pay back period). Mfano hiyo nyumba ni 80m. na kwa mwezi inaingiza 500,000/-
Pesa...
Nakumbuka siku nikiwa pale Paradise Bagamoyo niliwakuta wazungu wanakula Kamba koche nilipo uliza bei sikuamini masikio yangu.....ila nikahisi ni msosi mtamu sana...nika-agiza kwa mbwembwe zote....miaka 10 imepita bado nikikumbuka natapika....
Mali yako ndio mkombozi wako, labda kama una njia nyingine ya kupata mtaji kwa haraka vinginevyo watoto wakilala siku moja tu, utanyimwa haki yako hapo nyumbani.
MAELEZO ULIYO TOA HAYATOSHI KUSAIDIWA... LAKINI ogopa zero return investment hebu fikiria una 10M tu halafu pesa yote umenunua kiwanja... na umesema kibarua kimeota nyasi... HICHO KIWANJA KITAKUSAIDIAJE.
USHAURI WANGU KWAKE
1. Atumie muda wa mchana kujisomea
2. Asome na kupumzika .. kufanya kitu kingine kila baada ya saa na nusu
3. Asome akiona ananyemelewa na Adui yake aende discussion
4. Atengeneza ratiba nzuri ya masomo na awe serious kwa masaa 2 yanatosha sana (but concentration should be...
Tatizo ni kubwa hata ukiingia kwenye website ya wizara husika namba zilizomo ukipiga hazipatikani. Kwa miezi 2 nahangaika kutafuta mawasiliano na mheshimiwa naibu waziri Bashe ili nimueleze e yaliyo tupata wakulima wa korosho Mlandizi Kibaha kwa korosho tulizo uza October 2018 bila mafanikio...
Cheka cheka na nyani utavuna
mabua.
*Umemuingiza mama kwenye biashara akichota noti kumpa mwanae akale bata utamfanya nini?
*Business is a separate entity, huwezi toka nyumbani na kwenda kwenye biashara yako kuchukua pesa itakavyo,
* Kinachotoka kwenye biashara kwenda kwa mwenye biashara ni...
Na sisi ambao tumesha lipia zoezi la urasimishaji lakini mkandarasi anasua sua kumalizia upimaji na utoaji wa hati tukimbilie wapi?
Sent using Jamii Forums mobile app
Baada ya masaa kadhaa kutoka stesheni ya Dar utaingia mbuga ya Serous wanyama kibao, baada ya hapo utaingia Udizungwa ukiwa makini utawaona mbega weupe, ukisha pita Mlimba ndio starehe inaanza kwa wale wapendao uoto wa asili, ma-tunnels, madaraja marefu, milima na misitu ya kupandwa. Ndani ya...
Si tu aliye jibu hoja, bali ni wengi tu humu hamjamuelewa mtoa hoja. Haku maanisha mkuu amwage minoti kwa wananchi bali aangalie kilicho sababisha mzunguko wa pesa kuwa mdogo.
Acheni longo longo kila mtu hapa anajua dawa ya deni ni kulilipa. Uwezo wenu ni kutuibia na kutudhurumu sisi wakulima wa korosho, sasa ngoja mkomeshwe. Tulio uza korosho September 2018 mpaka leo hatujalipwa tunatamani hata kukamata Prado za serikali.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.