Pantomath
JF-Expert Member
- Jan 4, 2019
- 789
- 3,230
Kuna pesa kidogo nataka niiwekeze ili isikae tuu kwa kipindi ambacho napambana kufikisha amount flani ambayo itahitajika kufanya business flani lakini pia nikiwa nimebanwa na kazi.
Binafsi hakuna kitu tofauti nilikua najua zaidi ya fixed acc za banks, japo nazo ni kwa kusikia tuu ila sijui zinavyofanya kazi.
Nikamuuliza mshkaji wangu kuhusu fixed accounts yeye akaenda mbali kwa kunitajia kitu kigeni, nacho ni UTT ambacho pia hakunipa maelezo ya kujitosheleza.
Kwahio nikawa nimeletewa jambo jipya ikiwa bado la kwanza sijaliewa,
Nikaona nilichukue hili nililete kwenu, pengine hapa ikaja options nyingne tena zinazoendana na hizi.
Hivyo naomba mwenye kujua kuhusu hizi mambo?
Kama
Kiasi cha chini cha kuweka..
Kwa muda gani(minimum)?
Faida zake zipoje?
Nb . Naomba tusizungumzie kuhusu kufungua biashara au chochote kitakachohitaji Nikisimamie/Muda wangu kwa Sasa.
Binafsi hakuna kitu tofauti nilikua najua zaidi ya fixed acc za banks, japo nazo ni kwa kusikia tuu ila sijui zinavyofanya kazi.
Nikamuuliza mshkaji wangu kuhusu fixed accounts yeye akaenda mbali kwa kunitajia kitu kigeni, nacho ni UTT ambacho pia hakunipa maelezo ya kujitosheleza.
Kwahio nikawa nimeletewa jambo jipya ikiwa bado la kwanza sijaliewa,
Nikaona nilichukue hili nililete kwenu, pengine hapa ikaja options nyingne tena zinazoendana na hizi.
Hivyo naomba mwenye kujua kuhusu hizi mambo?
Kama
Kiasi cha chini cha kuweka..
Kwa muda gani(minimum)?
Faida zake zipoje?
Nb . Naomba tusizungumzie kuhusu kufungua biashara au chochote kitakachohitaji Nikisimamie/Muda wangu kwa Sasa.