Wazo zuri lakini kwa meko ataipeleka Rwanda kwanzaSGR iende Kigoma kwanza kwa ajili ya kusafirisha mzigo mwingi unaokwenda Congo. Mzigo wa Rwanda ni mdogo na yule Bwana K- game is there to stay and trust me mizenguo itakuwa mingi hapo baade.
Value for money tutaipata Congo na si kwa Mr. Tall.
Sent using Jamii Forums mobile app
Nauli kwa 1st class ni kiasi gani?Hapo alipokaa huyo dada ndo cafeteria sehemu ya kula. Hivyo vyoo/bafu ni vya 1st classView attachment 1453282View attachment 1453283View attachment 1453284View attachment 1453285
Sent From Galaxy S20 Ultra
Sijawahi safiri na treni umbali mrefu zaidi ya hizi za Dar,je naweza safiri na familia yangu tukiwa na watoto wadogo tukawa comfortable? Dar Makambako ile first class ni Bei gani tupo watu wazima watatu watoto watatu?
Inategemea na umbali. From dar to Kapiri ni Tsh 114000/=. Dar tunduma ni nusu ya hiyo...