Mie siwezi kuogopa maana nauza majeneza huu mwaka wa kumi na nilishaandaa la kwangu special kabisa hata familia wanajua nikichomoka tu wanajua nimelihifadhi wapi
Mie nilimkuta afwande mmoja kalewa mida ya jioni anapita njiani anayumba na kuongea peke yake nikatazama kulia na kushoto ili kuhakikisha hakuna watu nipite naye bahati nzuri Kuna wamama waliniona ikabidi nipite kimya kimya ila wasingekuwa hao ningemuweka mtama aanguke chini nimsachi
Hivi huwa mkiandika kiswahili mchanganyiko na kiingereza kama makande au mseto wa njugumawe na Michele huwa mnamaanisha hamjui kiswahili au kiingereza mkaandika kimojawapo tu ili mtu aelewe?
Mwanamke akikupenda akakupenda kutoka moyoni atakupa kila alichonacho
Kuna mtoto wa kishua niliwahi kuwa na mahusiano naye miaka ya nyuma huyo tangu akiwa secondary mpaka anafika chuo nimekula sana hela za mdingi wake mpaka demu akaniambia nifungue account bank akawa ananiwekea hela anazoiba...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.