Recent content by Muuza Majeneza Used

  1. M

    JamiiForums Tanzania Naota ndege inaanguka na kulipuka

    Kaka Mshana Jr nilisubiri comment Yako hapa
  2. M

    JamiiForums Tanzania Dalili ya mvua ni mawingu

    Mie siwezi kuogopa maana nauza majeneza huu mwaka wa kumi na nilishaandaa la kwangu special kabisa hata familia wanajua nikichomoka tu wanajua nimelihifadhi wapi
  3. M

    JamiiForums Tanzania Dalili ya mvua ni mawingu

    Njoo nikuuzie jeneza used kwa bei ndogo ili ukifa usiwasumbue ndugu zako kuchanga hela ya jeneza
  4. M

    JamiiForums Tanzania Dalili ya mvua ni mawingu

    Mambaz haikwepeki
  5. M

    JamiiForums Tanzania Dalili ya mvua ni mawingu

    Yu Bera watch yua back!!!
  6. M

    JamiiForums Tanzania Dalili ya mvua ni mawingu

    Mlioelewa huu Uzi mtutafsirie maana lugha inafanana na ya wale wahuni waliotoka South Africa
  7. M

    JamiiForums Tanzania Vitendo vya raia kupambana na polisi na kuwapiga ni dalili kuwa ipo siku raia watashika silaha na amani itatoweka

    Mie nilimkuta afwande mmoja kalewa mida ya jioni anapita njiani anayumba na kuongea peke yake nikatazama kulia na kushoto ili kuhakikisha hakuna watu nipite naye bahati nzuri Kuna wamama waliniona ikabidi nipite kimya kimya ila wasingekuwa hao ningemuweka mtama aanguke chini nimsachi
  8. M

    JamiiForums Tanzania Nimekataa kurudiana naye, sasa anataka kuvujisha picha mtandaoni alizonipiga kwa Siri. Sijui Nifanyaje?

    Hebu nitumie hapa hizo picha nizione kwanza kama kweli zitaleta madhara yoyote akizipost mitandaoni Then ntaangalia jinsi ya kukushauri
  9. M

    JamiiForums Tanzania HOJA Serikali imeweka mikakati gani kuwasaidia Watanzania wanaorudi kutoka Afrika Kusini?

    Waje tusaidiane kudai katiba mpya
  10. M

    JamiiForums Tanzania Tetesi: Fukuto ndani ya CCM Dodoma linatisha, hali si hali

    Mara pap..! Angela Kiziga anakuwa makamu wa rais!
  11. M

    JamiiForums Tanzania Nafikiri Britanicca apewe maua yake, ni jana tu alitusogezea code na leo imeji-crack yenyewe

    Huyo jamaa huwa akisema jambo ujue ni uhakika Nahisi jamaa ni mmoja ya wazalendo wachache walioko kwenye mfumo!
  12. M

    JamiiForums Tanzania Msaada kwenye tuta, nimjibu nini huyu?

    Hivi huwa mkiandika kiswahili mchanganyiko na kiingereza kama makande au mseto wa njugumawe na Michele huwa mnamaanisha hamjui kiswahili au kiingereza mkaandika kimojawapo tu ili mtu aelewe?
  13. M

    JamiiForums Tanzania Mahusiano yanakula hela, si mchezo!

    Basi wafungulie biashara hata ya kutembeza miwa mtaani au kutembeza mzani wa kupimia uzito
  14. M

    JamiiForums Tanzania Kwaiyo ni kweli kua kuna PISI AU WANAWAKE hugalamika au kufilisika kwaajili yakuhudumia wanaume uko mjini?

    Mwanamke akikupenda akakupenda kutoka moyoni atakupa kila alichonacho Kuna mtoto wa kishua niliwahi kuwa na mahusiano naye miaka ya nyuma huyo tangu akiwa secondary mpaka anafika chuo nimekula sana hela za mdingi wake mpaka demu akaniambia nifungue account bank akawa ananiwekea hela anazoiba...
  15. M

    JamiiForums Tanzania Mahusiano yanakula hela, si mchezo!

    Kodi mashamba uwape wakalime
Back
Top Bottom