Recent content by Mutuyakongo

  1. M

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Ninaishi na maumivu

    Mungu wa mbinguni aufikie moyo wako na kuufariji, Faraja ya vitu na watu n dhaifu mno. Yeye n mfariji mkuu na mwenye nguvu kuliko chochote. Upone,pole sana mtu wa Mungu. I remember mama mmoja aliyepoteza watoto wake wote 6 kwenye ajali moja. Ninafkiria moyo wake ulipondeka kias gan.
  2. M

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Wakuu: Ni kweli mwanamke anaweza akawa na mimba hadi miezi 3 bila kujua???

    miamba sio ugonjwa,hvyo unaweza kutokea na usijue mapema. Hasa kama n aina ya mwanamke ambaye period yake haielewek wakat mwngne inapta miez hajaona. Homone zake hazireact changes mapema. Wanawake wanatofautiana,mwngne wiki ya kwanza tu vitu vishaanza kuvurugka. Hvyo mkuu hii INAWEZEKANA...
  3. M

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Msaada ndugu zangu, ndoa yangu inaenda kudidimia

    Mungu nifundishe kunyamaza, Ila wewe na mama yako mkapimwe akili,shwain.
  4. M

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Wanawake wanajua ni muda gani sahihi wa kumshinda Mwanaume

    😂😂😂😂😂😂 Mwenye kisu kikali ndio atakula minofu. Uskate tamaa,kuna teuzi zinakuja.
  5. M

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Wanawake wanajua ni muda gani sahihi wa kumshinda Mwanaume

    Umemalzia vizur mkuu wangu, Nmejifunza. Uishi milele mjumbe 🙌
  6. M

    JamiiForums Tanzania Likizo hii watoto wako wanafanya nini? Je, unawafundisha ujuzi wa maisha ya kila siku tofauti na shule?

    Kuna hekima kila mzazi anafaa kuwa nayo. N wajibu wa kila mzazi kumsaidia mwanaye kukua kiakili na kiutendaji nje ya masomo. Mtoto ukimtenga na anachosoma shule bado anatakiwa kuwa na kitu cha kumfaa maishani. Utajiri wa kweli n generational yaan unakwenda vizazi na vizazi. Hata hvyo mtoto...
  7. M

    JamiiForums Tanzania Kwanini hatupendi kuwaomba ushauri watu masikini?

    maskini wengi wanahekima na mawazo mazuri N vile hawaaminiki. Don't trust a poor man 😂😂 Hata akikupa ushauri,upime vzr
  8. M

    JamiiForums Tanzania Tengeneza kiinua mgongo chako Usije ukatoa laana kwa wanao

    Uzi huu n bora na WA kuthaminiwa sana. Maisha ya uzeen yanataka maandalizi Vingnevyo utakua n uzeen wa fedheha sana,uzee wa kuomba omba. Tatizo wabongo wakifkiria uwekezaje wa miaka 20 mbele anawaza kufariki tu 😅😅 Anaona bora aztumbue leo leo,lkn hatujui kama ww ndio Mungu atakupa miaka 80.
  9. M

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Ndoa haitaki usanii

    Ndio n project ya kiroho Pasipo maombi (msaada wa Mungu) n ngumu kuvumiliana na kusameheana. Jifikirie vile ambavyo wewe unashindwa kuishi na wewe mwenyewe je utawezaje kuish na mtu mwngne Vile unavyojikasrikia ukizngua😅
  10. M

    JamiiForums Tanzania Kwa nini nidhamu ni muhimu kuliko motisha

    Ila mkuu wangu umemalzia kwa kutusema na kutudhihaki 😄😄😄😄😄
  11. M

    JamiiForums Tanzania Kwa nini nidhamu ni muhimu kuliko motisha

    Hamasa itakusadia kuanza, Ila inachukua nidhamu kuendelea na kukua katika jambo unaloliendea.
  12. M

    JamiiForums Tanzania Iba SIRI Hizi 7 Za MAFANIKIO Kutoka Kwa Billionaire Mkinga Fred Vunjabei...(Ambazo Zitaenda Kubadisha Maisha Yako 10X) .

    Nondo sana hizi mkuu wangu, Tusisahau pamoja na hayo yote ambayo n muhimu. Mafankio n mchakato,yanahtaji muda,uvumilivu,subra na wakati mwingine kujikana.
  13. M

    JamiiForums Tanzania Nifanye nini biashara yangu ikue?

    Ukuaji wa biashara yako unaenda sambamba na ukuaji binafsi wewe kama mmiliki,yaan kiwango chako cha ufahamu na maarifa. Are you grow? Hauwezi kwenda zaidi ya maarifa ulyonayo kuhusu unachofanya. Mwingne akaenda mbali zaid kusema huwez kuwa zaid ya tabia yako.
  14. M

    JamiiForums Tanzania Huu Siyo Uwekezaji, Ukitumbukia Utakufa Masikini......

    Umenena vyema mkuu. Mafanikio n mchakato. Tena mchakato wa maumivu. Mafankio na mema kiasili yamejificha kwenye maumivu. Tujifunze kwenda polepole.
Back
Top Bottom