The fact kwamba kakukataa wewe na kachukua ujauzito wa jamaa ni kwamba jamaa ni bora zaidi yako
Ungekua bora kama unavodai basi usingekuja kulia lia hapa
“Kila mwananchi wa Libya aliyekosa ajira baada ya kuhitimu kulingana na kiwango alichofikia, Serikali ilimlipa mshahara unaokaribiana na mtu aliyeajiriwa mwenye elimu sawa na aliyonayo yeye.“ .. basi hakuna ambae angetafuta ajira kama ndo unalipwa salary bure hivi
Hivi kuwa chawa ni lazima usiwe na akili? Arusha kuizidi Dubai😂😂😂😂
Sema nmependa dogo unajua kucheza na beat, unajua kulamba nyayo za walamba asali
Huyu dogo in few years mtaskia kawa DC. Anajua kula na kipofu
Gari za singapore ni kama kubeti. Nina washkj kadhaa wanalia gari za huko.
Sema zinatamanisha sana aisee, nna mwana ana rav 4 ya mwaka 2006 aisee ina body kit kali, mlango wa nyuma kama wa vanguard, ina sunroof na speed 260 (kwa shape nje ukiichek utadata). Halafu pia ni diesel na ni manual...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.