Wabongo Bwana hawana jema, mlimtukana matusi yote kibaraka wa CCM, mwizi, mnafiki etc, jamaa akajiondoa na siasa ame focus biashara zake
Mnakuja tena mnataka awasemee nini? Akikemea mtaaanza kumkejeli tena ni mnafiki kuwa miaka yote alikua wapi.. mtu kastaafu mwamcheni aendelee na mishe zake
Tukaua na nani? Usinijumuishe mimi kwnye politics zenu. Me sishabikii siasa zozote wala sina chama, hata chaumma au tesha wachukue nchi sawa tu. Hata wewe uwe raisi ni sawa tu kwangu
Ninachokiongelea hapa ni memchagua siku ya uchaguzi kuandamana means mnawakosedha haki wengine ya kupiga kura...
Mnataka kuleta fujo kuharibu uchaguzi halafu mnataka wasitumie silaha.
Mkitaka wasipate sababu ya kutumia silaha bas andamaneni kabla ya uchaguzi au baada ya uchaguzi
Kuandamana siku ya uchaguzi lazma mpigwe kwa silaha za moto, ni
Jinsi jamaa alivowasilisha hoja its like PC zisizo na vigezo zitafungiwa.
Hebu aseme clearly kuwa hazitapata updates basi, ila mzigo zinapiga kama kawaida
Polepole target yake ni kumsafisha magufuli na kuwaangushia lawama wana mtandao
Hata utekaji kipindi cha magufuli atasema ni wana mtandao walimhujumu mzee
Bomu la mwisho analoliandaa ni hio kuhusu waliompiga risasi lissu, msala wanapewa wanamtandao. Maana watanzania saivi wameshasahau atawapa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.