Recent content by mutu murefu

  1. mutu murefu

    Hivi kwanini wanawake wengi wakiwa mabinti (19-24 years), wanachagua ku-date na wanaume wa hovyo?

    The fact kwamba kakukataa wewe na kachukua ujauzito wa jamaa ni kwamba jamaa ni bora zaidi yako Ungekua bora kama unavodai basi usingekuja kulia lia hapa
  2. mutu murefu

    Mlinda mlango wa Iran kuadhibiwa kwa kumkumbatia shabiki mwanamke

    Ss jamaa amekosa nini? Shabiki amekuja mwenyewe kumkumbatia
  3. mutu murefu

    Mambo 17 yaliyosababisha kuuawa kwa Gadaffi

    “Kila mwananchi wa Libya aliyekosa ajira baada ya kuhitimu kulingana na kiwango alichofikia, Serikali ilimlipa mshahara unaokaribiana na mtu aliyeajiriwa mwenye elimu sawa na aliyonayo yeye.“ .. basi hakuna ambae angetafuta ajira kama ndo unalipwa salary bure hivi
  4. mutu murefu

    Rihanna Atoa Somo Zuri kwa Wanawake. Jitahidini Kuishi Maisha Ambayo Hamtajutia Baadaye

    Tulioenda kwenye website zetu pendwa ku search “Lana's Nasty Challenge” tukutane hapa😂😂😂😂
  5. mutu murefu

    Bado tu Makonda hajasimamishwa kazi kupisha uchunguzi?

    Sasa nimeanza kuelewa kwanini viongozi huwa wanaandikiwa speech
  6. mutu murefu

    Ushauri: Alinikataa, sasa ana mtoto anadai ananipenda anataka turudiane!

    Bro tatizo lako huwa unadoji kwenye vikao vyetu
  7. mutu murefu

    Paul Makonda anakwenda kulifanya Jiji la Arusha kuwa maarufu kuipita Washington DC Marekani au Dubai

    Hivi kuwa chawa ni lazima usiwe na akili? Arusha kuizidi Dubai😂😂😂😂 Sema nmependa dogo unajua kucheza na beat, unajua kulamba nyayo za walamba asali Huyu dogo in few years mtaskia kawa DC. Anajua kula na kipofu
  8. mutu murefu

    Msaada wa mawazo wakuu

    Duh mbona huu ni utapeli sasa ndugu yangu. Lani faida 220k
  9. mutu murefu

    Najuta kuoa mwanamke kutoka kanda ya ziwa, aisee najuta indeed!

    mimi mbena wa njombe Nimeona mu iraqwi wa mbulu amekulia arusha She is the best wife Kuoa mbali au karibu sio ishu, ishu ni mwanamke mwnyewe
  10. mutu murefu

    Najuta zaidi ya Tsh. 500m nimezika katika majengo, mtaji wa kufanyia biashara umepungua pakubwa sana

    Majengo hayo nenda bank weka dhamana chukua mkopo mbona mambo yanawezekana
  11. mutu murefu

    Be Forward wamekuwa wajanja na waongo, magari yanaletwa mabovu

    Gari za singapore ni kama kubeti. Nina washkj kadhaa wanalia gari za huko. Sema zinatamanisha sana aisee, nna mwana ana rav 4 ya mwaka 2006 aisee ina body kit kali, mlango wa nyuma kama wa vanguard, ina sunroof na speed 260 (kwa shape nje ukiichek utadata). Halafu pia ni diesel na ni manual...
  12. mutu murefu

    Uko tayari mtoto wako aoe au kuolewa na mtu mweye tabia kama zako?

    Mungu amuepushe na kikombe hiki😂😂😂😂
  13. mutu murefu

    Nishaurini Ndugu zangu juu ya huyu mwanamke

    Hizo red flahs zote na majibu ya shombo hivo na bado hujamuweka ndani.. mzee unajipalia makaa ya mawe Au hio masters yake inakuchanganya?
  14. mutu murefu

    Kwanini Mtu anapomaliza kupiga NYETO (Kujichua) anaanza kujutia kwa kitendo hicho?

    Labda kama ndio unaingia kwenye game Ila legends hawajutii jombaaa
Back
Top Bottom