jery yupo fit anaweza kama atapitia CCM na sio CDM maana ukonga Wachaga si wengi na Wakurya waliopo hawana uwezo wa kumchagua Mbunge kupitia CDM maana kufanya hilo ni sawa na kulazimisha kivuli cha Mzungu kuwa cheupe.
Kama ndo mara yako ya kwanza kwa huyo hg kumega na kweli hujawahi kumega kwingineko nahisi ujanja wa mapenzi hasa ya 6 kwa 6 huna,jaribu kuwaona wazoefu wakupatie mbinu za kumwondoa Jose kwa papuchi yako.
Kama Mawazo ndo kaandaliwa na CDM kupambania ubunge Busanda hatoshi hata kidogo,kwani mara nyingi mtu akishindwa udiwani na kukimbia mwenyewe iweje leo apewe kuwakilisha watu zaidi ya elfu sabini aweze?Ndo maana namshangaa Mawazo kukumbuka kwao asubuhi wakati wengine ukumbuka kwao usiku.
unafiki wa kisiasa mkubwa baada ya CDM kuonekana kuwa chama cha Kaskazini eti sasa wanatafuta mbinu ya kuonekana kina sura ya kitaifa huo ni wizi mtupu,hivi ni yupi bora? malaya wa kisiasa au malaya wa wanawake maana alichokifanya Mawazo ni usanii mtupu ambao tafsiri yake ni kwamba Arusha...
binafsi sifurahishwi na namna ambavyo waTZ wenzetu wanapokuwa pamoja kwa lengo fulani kufika huko na kuanza kuunda vitaasisi uchwara kama UKAWA ktk BMK.Halafu chaajabu zaidi ni pale ambapo vyama vinavyounda UKAWA viliwahi kulushiana madongo kwa tuhuma za kuunga mkono ndoa za jinsia moja iweje...
kwa mfumo wa siasa za tz za watoto kujaa ktk mikutano ya kampeni za vyama vya upinzani na vijana wasiojitokeza kupiga kura ni sawa na ndoto za mchana,upinzani watashika dola kama sheria ya kuwabana wananchi kupiga kura itapitishwa vinginevyo kaa usubiri miujiza.
hako ni kautafiti au ni njozi mkuu,mimi nilijua mchumi wao kasimamishwa ndo maana matumizi ya chopa tatu jimbo hasi ni kutumia sakosi yao vibaya nawashauri waachane na siasa wakawinde wanyama.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.