Nimechelewa dakika 5 kwenye interview

Nimechelewa dakika 5 kwenye interview

nilitumia google maps.mshale haukuwa una move.nilijaribu hata kuangalia settings.. wapy!nikabaki kuuliza.nimehesabu nyumba zote toure drive,oysterbay..
 
Naogopa kukukatisha tamaa lakini kwa pwc hiyo kazi inabidi uisahau tu:-

1. Wana-interview watu wengi tena wazuri kimatokeo, na these days most of the students wanajua kujieleza sana kilugha tofauti na miaka michache iliyopita, kwa hiyo probability ya wewe kukosa ni kubwa, otherwise ungepewa muda hata wa ku-apologize;

2. pwc wana-consider muda kama kitu cha kwanza kwa kila kitu, kama huwezi ku-observe muda wa interview possibility ni kubwa utashindwa ku-observe muda wa kazi pia;

3. Umekaa nyumbani mwaka mzima bila kazi; unless ulikuwa unafanya pepa za bodi, la sivyo wataona kwamba wewe si kitu kwa sababu ungeshapata kazi;

All in all, Mungu akipanga utapata kazi, jaribu pia kucheki firm zingine kama EY (maana huwa wanachelewa kuita na sasa hivi wanahitaji watu wengi kuliko pwc.
 
Have faith, kitendo cha kukuacha uwe interviewed ni ishara kuwa hawakuwa disappointed sana.
Mshukuru Mungu kwa kukuwezesha kufanya hiyo interview no matter what, yeye ndo anajua ana nini na wewe.
 
umepata hiyo kazi, andaa kutoa fungu la 10, usiwaze sana kama Ipo ipo tu.
 
Usivunjike moyo..mimi binafsi sikutokea kabisa katika interview kwa sababu siku hiyo mvua ilinyesha Dar siku nzima na interview ilikuwa inafanyika serena hotel posta...niliamua kuwapigia simu na kuwaambia kwamba sitaweza kwenda kwenye interview kwa sababu nimeshindwa kupata usafiri,wakasema hawana cha kufanya..kulikuwa na watu tisa tuliokuwa short listed..kwa hiyo nilishakata tamaa..baada ya siku mbili nilipigiwa simu tena na watu hao hao na kuulizwa kama nipo tayari kufanya interview..bahati nzuri nilikuwa posta na this time walikuwa holiday inn...so within 5 mins nilikuwa nimeshafika...Nashukuru Mungu nilipata kazi hiyo na mpaka sasa nipo nao hawa watu.
 
tulia wewe, mimi nlichelewa PwC dakika 26 na nikafika mpaka partner's interview,,,sema labda tu kama aliekufanyia usahili ni mbongo imekulwa kwako, mtu mweusi sio mtu...mie alikua mzungu na alinielewa
 
Pole kwa kuwa na mashaka.

Siku nyingine kama haujui wapi unafanyia interview, nenda siku kabla ukapatafute au wapigie simu kama unaweza jibane na hata pesa ya boda boda ufikishwe.

Pia kwa siku ingine lazima lazima ukumbuke kusema samahani kwa kuchelewa sababu wao wanajua umechelewa.

Omba Mungu wasiwe na waliokuzidi ktk intewrview ili wakuchukue, bali kumbuka heshima ni muhimu sana. Na usikae kabla haujaambiwa kaa baada ya kuwasalimia kwa handshake wote kwanza.

Kama umepangiwa na Mola itakuwa then kazi utapata.
 
Naogopa kukukatisha tamaa lakini kwa pwc hiyo kazi inabidi uisahau tu:-

1. Wana-interview watu wengi tena wazuri kimatokeo, na these days most of the students wanajua kujieleza sana kilugha tofauti na miaka michache iliyopita, kwa hiyo probability ya wewe kukosa ni kubwa, otherwise ungepewa muda hata wa ku-apologize;

2. pwc wana-consider muda kama kitu cha kwanza kwa kila kitu, kama huwezi ku-observe muda wa interview possibility ni kubwa utashindwa ku-observe muda wa kazi pia;

3. Umekaa nyumbani mwaka mzima bila kazi; unless ulikuwa unafanya pepa za bodi, la sivyo wataona kwamba wewe si kitu kwa sababu ungeshapata kazi;

All in all, Mungu akipanga utapata kazi, jaribu pia kucheki firm zingine kama EY (maana huwa wanachelewa kuita na sasa hivi wanahitaji watu wengi kuliko pwc.[/QUOTE
hiyo namba 3 acha kudanganya watu,kwani mtu akikaa mwaka nyumbani bila kazi ndio hakuna kitu kuna watu wamefaulu vizuri na bado wapo mtaani.ajira ni janga la taifa naomba ufahamu hivo
 
ni vema kabla ya interview ukajua mazingira bkozi kwa dar ofisi nyingi uhama kila siku.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom